Sifa zote unazotaka ninazo lakini nina kibamia sijui kama nitakufaa.
Kwa hiyo upo tiyari ama?
Asante kwa kunikaribisha lakini
- Je uko tayari nihamie kwako ili nimalize huo upweke wako?
- Je tutawowana kwa miaka mingapi? (kwa sababu haiwezekana kupendana for life)
Picha tafadhali....
Mimi nipo nije wapi
Taratibu taratibu......
Habiri wakuu,
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka isiyozidi 29 lakini haipo chini ya 25. Natafuta rafiki wa kiume mwenye Umri usiopungua miaka 30 but usizidi miaka 45. Awe anapenda kusocialize, asiwe anakariri kila kitu, awe pia anajua kubadilika kutokana na mazingira (coz hata mie nahisi nina sifa hizo)
Mwenye sifa hizo please unakaribishwa au hata kama unamfahamu mtu mwenye sifa hizo mwambie namtafuta kwa kweli.
Note:
Maisha ya upweke yamenishinda mie, natafuta wakubadilishana nae mawazo na pia nataka kumkabizi moyo wangu.
Karibuni
Asante kwa msaada ndugu yangu
Wewe binti unatangazia nyang'au minofu? Watakuliza sasa hivi!
Jamani au unatafuta sababu ya kunikataa tuu,,, poa lakini
Sifa zote unazotaka ninazo, na pia ziada ya hapo kwani ninauzoefu wa kuwa na mwenza kwa miaka mingi. Nina mke na watoto.
Kwa hiyo ni PM.
hata huko nilipotoka nimelizwa vya kutosha,,, ngoja nijaribu bahati yangu.
thanks for ur concern tho