Natafuta rafiki wa kiume

Natafuta rafiki wa kiume

Umri wangu :33
Location😀ar
Jinsia ke

Umri wa nimtafutae :25-38
Awe dar

No strings attached,sio kwa ajili ya kuoana,just marafiki

Karibu pm
Huwezi kuomba mimi niwe rafiki yako alafu mimi ndiye nikufuate PM nikae siku nzima nasubiria unijibu ,lilikuwa suala la kusema naomba ruhusa ya kuingia kwenye akaunti ya mwanaume yeyote atakaye kuwa tayari kuwa rafiki yangu ili sisi tuje tuseme njoo chap kwangu .

Haya anyway fanya chap uzame PM kwangu maana maombi ni mengi wanaonitaka ila sitaki nimeamua nikuhurumie wewe mamy cute
 
Umri wangu :33
Location😀ar
Jinsia ke

Umri wa nimtafutae :25-38
Awe dar

No strings attached,sio kwa ajili ya kuoana,just marafiki

Karibu pm
Hii ni njia ya kizamani za kuwakamata wakosoaji wa IDI AMIN MAMA.......Hamtafanikiwa
 
Sema kua na urafiki na mtoto wa kike na hamna kitu ambacho ni common kati yenu inakuaga kipengele kinyama mtaishia kuombana mzigo mwisho wa siku mtapotezeana kama mlivokutana.
 
669525629.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom