Are you financially stable? Utaweza kumlea na kumsomesha Jery, International School, kama jibu ni YES, wewe waweza fikiriwa kuwa rafiki wa kweli!!Mi chotara wa kihaya na kingoni je naruhusiwa ?
hahahahaha! We mizizi usimkatishe mwenzio tamaa. Mama jer komaa utatoka tu.Nchi yenyewe haiko financialy stable, itakuaje awe mtu? Katafute nje ya nchi!
mapenz ya kweli yamebakia kwenye moviez za akina kanumba na hadith za shigongo an alies...,Huyo anaekwambia kuwa pesa muhimu ktk mapenzi jua yupo kimaslahi zaidi si mapenzi ya dhati
Are you financially stable? Utaweza kumlea na kumsomesha Jery, International School, kama jibu ni YES, wewe waweza fikiriwa kuwa rafiki wa kweli!!
Jaman hebu tuwen realistic kidogo. Mara nyingi wenye hela hukutana na kumake frndship wth the watu of the same status n vice verse kutokana na mazingira. So hapa sioni ajabu maana ameamua kuwa muwazi zaidi.., Dada'angu mi sipo vizur kimapato ila naomba uni-conside-r kwenye utafutaji wakoWe unatafuta rafiki halafu unabagua kabila maana yake nini? Halaf awe financially stable.....pesa na urafiki/upendo wapi na wapi? Haya kila la heri.
anatafuta m2 wa kuchuna 2 huyo,hana lolote.Mi ni Muhaya, lakini pia sikutaki mama Jery kwakuwa una mtoto tayari na umeonyesha kuwa ni mkabila!! Yaani hata urafiki unataka awe finacially stable mhh, huu urafiki au utegemezi? Nahisi unatafuta mtu wa kukusaidia kutunza mwanao wewe, Nimeshtuka nshomile mimi!
oya we chalii,umenkumbusha mbali sana,hapo naura primary na hyo 6b ndo palipo nitoa mkuu.unataka kumchuna au? Kama sio ni pm. Mimi ni mwanafunzi niko arusha nasoma shule ya msingi naura la 6b ka vp i can b ua friend.
mkuu mi nilikuwa najaribu kurelate cv aliyoitoa pamoja na matakwa yake naona kama kuna something more. Lakini....... anywayz hakuna shida mkuu.Jaman hebu tuwen realistic kidogo. Mara nyingi wenye hela hukutana na kumake frndship wth the watu of the same status n vice verse kutokana na mazingira. So hapa sioni ajabu maana ameamua kuwa muwazi zaidi.., Dada'angu mi sipo vizur kimapato ila naomba uni-conside-r kwenye utafutaji wako
mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.
1 miaka 33-37
2 mkristo
3 awe financial stable
4 mpole kiasi asiwe anachonga sana
5 asiwe muhaya
6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivu
mimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi
We mweu kweli, hautaki mhaya! then unataka mtu mwenye pesa! haujui kama wahaya ndo mabepari? inaonekana wewe n mfanyabiashara ndo maana mpaka sasa haujaolewa na hautaolewa kama unaleta mambo ya ukabila. mbona wewe haujataja kabila lako? mkabila mkubwa wewe, na utaendelea kuzeeka tu bila kupata mme, mweu mkubwa.
Nakupa pole kwani kwa style hiyo hutopata kama unavyohitaji badala yake unaweza kuwapata wazugaji kuwa wanazo zakutumia na watajionyesha niwapole machoni pako mwisho wamchezo anakutosa. Minakushauri we tafuta tu mtu bila masharti yoyote then utapima mwenyewe mbele ya safari ya mahusiano. Lakini ukianza kusema sijui dini/kabila/pesa, utaingia pabaya bure. Au kama vipi wasiliana na mimi then tutaona kama tunaweza kuwa wapendwa au haiwezekani. Bobcharles90@yahoo.com.mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.1 miaka 33-372 mkristo3 awe financial stable4 mpole kiasi asiwe anachonga sana5 asiwe muhaya6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivumimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi