natafuta rafiki wa kiume wa ukweli

Mi chotara wa kihaya na kingoni je naruhusiwa ?

Kuhusu vigezo vyako
  • financially niko between ya stable na unstable inategemea kipindi na msimu wa mavuno
 
Are you financially stable? Utaweza kumlea na kumsomesha Jery, International School, kama jibu ni YES, wewe waweza fikiriwa kuwa rafiki wa kweli!!

Billgates mwenyewe bado anasaka pesa na kuinvest sasa mimi mwenye TGS C nikisema finacaly stable ntakuwa najidanganya ndo maana nimesema niko katikati ya stability na ustability teh teh teh teh . Ngoja nisubiri
 
We unatafuta rafiki halafu unabagua kabila maana yake nini? Halaf awe financially stable.....pesa na urafiki/upendo wapi na wapi? Haya kila la heri.
Jaman hebu tuwen realistic kidogo. Mara nyingi wenye hela hukutana na kumake frndship wth the watu of the same status n vice verse kutokana na mazingira. So hapa sioni ajabu maana ameamua kuwa muwazi zaidi.., Dada'angu mi sipo vizur kimapato ila naomba uni-conside-r kwenye utafutaji wako
 
Mi ni Muhaya, lakini pia sikutaki mama Jery kwakuwa una mtoto tayari na umeonyesha kuwa ni mkabila!! Yaani hata urafiki unataka awe finacially stable mhh, huu urafiki au utegemezi? Nahisi unatafuta mtu wa kukusaidia kutunza mwanao wewe, Nimeshtuka nshomile mimi!
anatafuta m2 wa kuchuna 2 huyo,hana lolote.
 
unataka kumchuna au? Kama sio ni pm. Mimi ni mwanafunzi niko arusha nasoma shule ya msingi naura la 6b ka vp i can b ua friend.
oya we chalii,umenkumbusha mbali sana,hapo naura primary na hyo 6b ndo palipo nitoa mkuu.
 
Duuh! siku hizi vijana walio financially stable hawapatikani mpaka kwa kuwatangazia? na hao vijana nao huko waliko hawawaoni wadada wazuri mpaka wasubiri kutangaziwa...probably I miss something here...there must be a big problem which is hidden, mhhhh! Ni wazo tu lakini
 
Mkuu hapa tunafanyeje? au tuna ku-PM au wewe utatu-PM mwenyewe? alafu utafanyaje evaluation ya criterio ulizoweka maana kuwa macho tunaweza ku-pretend naona kama hujawai kudanganywa; ok its fine weka CV sasa ili watu tuangalie kama tunaweza kujitosa.
 
Jaman hebu tuwen realistic kidogo. Mara nyingi wenye hela hukutana na kumake frndship wth the watu of the same status n vice verse kutokana na mazingira. So hapa sioni ajabu maana ameamua kuwa muwazi zaidi.., Dada'angu mi sipo vizur kimapato ila naomba uni-conside-r kwenye utafutaji wako
mkuu mi nilikuwa najaribu kurelate cv aliyoitoa pamoja na matakwa yake naona kama kuna something more. Lakini....... anywayz hakuna shida mkuu.
 
mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.
1 miaka 33-37
2 mkristo
3 awe financial stable
4 mpole kiasi asiwe anachonga sana
5 asiwe muhaya
6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivu
mimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi

Mimi nina miaka 31. Ningekuwa nayo 33-- ningekuambia labda nakufaa/unanifaa. Ila sifa zangu nitakazo pia ni kama zako (isipokuwa pia asiwe mzaramo au mtu wa pwani by origin) na ninakaa dar. Lazima pia uwe "financially stable". Na hii haimaanishi tu uwe unafanya kazi. NO! Uwe unafanya kazi inayokufanya uwe financially stable.

Sijui kama wewe ni "financially stable"? au unatafuta mtu wa namna hiyo aje kuku-stabilize wewe financially?
 
We mweu kweli, hautaki mhaya! then unataka mtu mwenye pesa! haujui kama wahaya ndo mabepari? inaonekana wewe n mfanyabiashara ndo maana mpaka sasa haujaolewa na hautaolewa kama unaleta mambo ya ukabila. mbona wewe haujataja kabila lako? mkabila mkubwa wewe, na utaendelea kuzeeka tu bila kupata mme, mweu mkubwa.

Hataki mme, anataka rafiki. Pia hataki wahaya kazi kwako Kamugisha jitoe tuache uwanja uwe mpana.
 
Mchakato huu utafungwa itakapotimia kesho saa tatu asubuhi.Fanyeni hima masinia bachela
 
mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.1 miaka 33-372 mkristo3 awe financial stable4 mpole kiasi asiwe anachonga sana5 asiwe muhaya6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivumimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi
Nakupa pole kwani kwa style hiyo hutopata kama unavyohitaji badala yake unaweza kuwapata wazugaji kuwa wanazo zakutumia na watajionyesha niwapole machoni pako mwisho wamchezo anakutosa. Minakushauri we tafuta tu mtu bila masharti yoyote then utapima mwenyewe mbele ya safari ya mahusiano. Lakini ukianza kusema sijui dini/kabila/pesa, utaingia pabaya bure. Au kama vipi wasiliana na mimi then tutaona kama tunaweza kuwa wapendwa au haiwezekani. Bobcharles90@yahoo.com.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom