Natafuta rafiki(Kondakta/Dereva)

Natafuta rafiki(Kondakta/Dereva)

Habarini,
Naitwa Innocent(Me),Natafuta rafiki/marafiki wa kubadilishana nae/o mawazo ya kimaisha;awe dereva au kondakta wa magari ya abiria yafanyayo safari ndani ya jiji la Dar es Salaam.Umri wowote na jinsia yeyote.
**Lengo ni kubadilishana mawazo ya kimaisha(Urafiki wa kawaida)
Yeyote atakayekua tayari,tuwasiliane kwa 0625 518 349 au anitumie pm.

Shukrani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom