Afadhali,naweza kupata namba yako tuwasiliane mkuu??Mimi dereva wa daladala mkuu ila nilianzia ukonda.
Kuna tatizo lolote?Duh.umesema jinsia yako me?siamini.
namba yangu siwezi kukupa mkuu.Afadhali,naweza kupata namba yako tuwasiliane mkuu??
Ok,sio vibaya,tuwasiliane pm basi mkuu...namba yangu siwezi kukupa mkuu.
Sawa hamna tabu.Ok,sio vibaya,tuwasiliane pm basi mkuu...
atakuwa kondakta anatafta mchongoKwa nini dereva au kondakta na si mlinzi au fundi mwashi?
Sijui nini tatizo,najaribu kutuma ujumbe lakini inashindikana...Sawa hamna tabu.
atakuwa amenunua gari la abiria hivyo anatafuta mtu wa kumpa ABCKwa nini dereva au kondakta na si mlinzi au fundi mwashi?
Pole. Labda network!Sijui nini tatizo,najaribu kutuma ujumbe lakini inashindikana...
Asante,bado inasumbua,ngoja nisikilizie kidogo mkuuPole. Labda network!
Habarini,
Naitwa Innocent(Me),Natafuta rafiki/marafiki wa kubadilishana nae/o mawazo ya kimaisha;awe dereva au kondakta wa magari ya abiria yafanyayo safari ndani ya jiji la Dar es Salaam.Umri wowote na jinsia yeyote.
**Lengo ni kubadilishana mawazo ya kimaisha(Urafiki wa kawaida)
Yeyote atakayekua tayari,tuwasiliane kwa 0625 518 349 au anitumie pm.
Shukrani.