Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,253
- 100,028
Nina mpango wa kufungua mahali pa kuuzia mafuta ya Taa hapa Kijijini kwetu, naombeni msaada wenu ni wapi naweza kupata mashine (pump) maana tank nimeshalipata. Mwenye mawazo jinsi ya kupata hizi mashine tuwasiliane na nitakuwa natumia Genereta au Handle maana hapa kijijini hakuna umeme.