Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 4,975
- 9,723
Mzee baba ushakpata? Unipasie na mieHabari wakuu ,naomba mwenye uwezo wa ku-share PDF ya kitabu tajwa hapo juu kwa wale walionacho katika mfumo wa PDF .
Mzee baba ushakpata? Unipasie na mieHabari wakuu ,naomba mwenye uwezo wa ku-share PDF ya kitabu tajwa hapo juu kwa wale walionacho katika mfumo wa PDF .
jitahidi ukiscan kwa kutumia camscaner ili upate pdf ili tupate knowledge pia mkuuNina hardCopy mkuu
Kimekusaidia nini mpaka sasa ambacho unaweza kusema kweli ela yako imeenda vzuriElfu 40?? mm nilinunua elf 30 wiki 2 baada ya kutoka
jitahidi ukiscan kwa kutumia camscaner ili upate pdf ili tupate knowledge pia mkuu
😂😂😂😂😂Kuna kitabu kinauzwa million cha Steve Nyerere
Ni 30elfElf40 .
Kingekuwa cha Yericko Nyerere angalau ningemwomba anipunguzie japo buku, hicho cha steve sikitaki hata bure! Rip Mengi!Kuna kitabu kinauzwa million cha Steve Nyerere
Kimekusaidia nini mpaka sasa ambacho unaweza kusema kweli ela yako imeenda vzuri
30000Elf40 .
Ni Yeriko NyerereKuna kitabu kinauzwa million cha Steve Nyerere
Na kwenye hicho kitabu amewazungumzia watu wanaosema "TATIZO MTAJI" anasema kuna watu walisema hivyo akasema "haya mtaji huu niambie plan ya biashara" wakabaki kumung'unya maneno tu.Hayo maneno bila mtaji ni kazi bure.
Subiri uazime.hapana mzee kinauzwa ghali sana na sie masikin tuna kiu ya kusoma .
Na kwenye hicho kitabu amewazungumzia watu wanaosema "TATIZO MTAJI" anasema kuna watu walisema hivyo akasema "haya mtaji huu niambie plan ya biashara" wakabaki kumung'unya maneno tu.