klmanjaro
Senior Member
- Jan 30, 2020
- 131
- 148
Ukitaka pasi nzuri nenda tu kwa dobi, umuulize then atakwambia ya kununua,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua philips orginal namba 1 ni nzuri na bei ni 30000 jumla hiyo bei ya jumla.
Tena uwe makini asikupe namba 2 maana hizo philips kuna aina 4 na zinafanana zote huwezi jua.
Hiyo namba 2 wanauza 25000 jumla
Namba 3 18000 na namba 4 ni 7500 ndio hizo wamachinga wanashikaga mkononi wanakuazia 35000 elfu
Ni muda sasa natumia pasi aina tofauti lakini hazidumu, zimekuwa zinaharibika au kuungua sana.
Mwenye kujua aina nzuri ya pasi na ikiwezekana na bei yake anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanunue philips ile ya kitambo. Usinunue za kutembeza mikononi, ni feki. Kama upo Dar, nenda aljazeera super market Mtoni kwa azizi ally, au super market yoyote kubwa
Nimetumia Philips ila iliyeyuka control switch, nikanunua Hitachi ikaungua nikanunua aina flani ya pasi ya kutumia maji ikazingua
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakazia. Box lake lina logo ya blue ya mviringo imeandika no. 1 kama hilo pichaniNunua philips orginal namba 1 ni nzuri na bei ni 30000 jumla hiyo bei ya jumla.
Tena uwe makini asikupe namba 2 maana hizo philips kuna aina 4 na zinafanana zote huwezi jua.
Hiyo namba 2 wanauza 25000 jumla
Namba 3 18000 na namba 4 ni 7500 ndio hizo wamachinga wanashikaga mkononi wanakuazia 35000 elfu
Halafu huwezi amini. Hiyo pasi ya kijivu ya phillips ni grade ya mwisho kwenye pasi za philips lakini ndio inadunda hivyo. Najaribu kuimagine first grade yake ambayo ina rangi ya blue ikoje?Philips genuine ile ya rangi kama kijivu hutajuta!
Inaandikwa kwenye box. Angalia hapo chini ya hilo neno philips.
Hii itakaa miaka na miaka.View attachment 1366860
Tafuta za mitumba kwenye maduka ya used,utakuja nishkru baadaeNimetumia Philips ila iliyeyuka control switch, nikanunua Hitachi ikaungua nikanunua aina flani ya pasi ya kutumia maji ikazingua
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia ni made wapi (Indonesia), angalia model namba yake (HD1172) na angalia ina voltage ngapi (220-240) na mwisho kabisa ina Watts ngapi (950-1100)Wakuu vipi hizi ambazo hazina namba ila zimeandikwa original? Ni nzuri au nitemane nazo tuView attachment 2330008