x.jamex1
Member
- Aug 2, 2014
- 76
- 27
Mimi ni kijana niliemaliza chuo huu mwaka..katika harakat za kutafuta ajira nitakuwa nina uhitaj kidogo..hivo ili kujikimu ninaomba wana JF kwa yoyte anaeweza hitaji mtu wa kumsaidia kazi awe skilled au unskilled anisaidie ili mradi tu nipate chochote kinywani..kama una uhitaji naomba nicheck PM