124 Ali JF-Expert Member Joined Apr 25, 2010 Posts 7,813 Reaction score 5,522 Mar 5, 2018 #21 Thad said: Napenda paka ila huyu hata bure simtaki Click to expand... hujui aina ya paka ,kwa panya hao ndo wenyewe ni aina ya taby cat hawa slim body!
Thad said: Napenda paka ila huyu hata bure simtaki Click to expand... hujui aina ya paka ,kwa panya hao ndo wenyewe ni aina ya taby cat hawa slim body!
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 45,751 Reaction score 55,787 Mar 5, 2018 #22 nunua ile gund ya doom.
Davet JF-Expert Member Joined Apr 5, 2013 Posts 42,474 Reaction score 206,014 Mar 5, 2018 #23 Thad said: Duh! Hao panya wako wamezidi lol! Hapo hata ukipata paka utakuta wamefanya njama na kumfunga kengele shingoni ili akipita wamsikie Click to expand...
Thad said: Duh! Hao panya wako wamezidi lol! Hapo hata ukipata paka utakuta wamefanya njama na kumfunga kengele shingoni ili akipita wamsikie Click to expand...
Thad JF-Expert Member Joined Mar 14, 2017 Posts 13,402 Reaction score 31,652 Mar 5, 2018 #24 124 Ali said: hujui aina ya paka ,kwa panya hao ndo wenyewe ni aina ya taby cat hawa slim body! Click to expand... Mmmh! Paka hana mvuto kabisa, mi napenda paka ninayecheza naye. Asante kwa ushauri. Bilashaka mwenye panya wake atakuwa amepata ushauri wako.
124 Ali said: hujui aina ya paka ,kwa panya hao ndo wenyewe ni aina ya taby cat hawa slim body! Click to expand... Mmmh! Paka hana mvuto kabisa, mi napenda paka ninayecheza naye. Asante kwa ushauri. Bilashaka mwenye panya wake atakuwa amepata ushauri wako.
Matty96 JF-Expert Member Joined Jul 1, 2013 Posts 215 Reaction score 194 Mar 5, 2018 Thread starter #25 Thad said: Nikiangalia avatar yako na huu uzi wako najisikia kucheka Click to expand... Hahahah.. Wananitesa balaa..
Thad said: Nikiangalia avatar yako na huu uzi wako najisikia kucheka Click to expand... Hahahah.. Wananitesa balaa..
Matty96 JF-Expert Member Joined Jul 1, 2013 Posts 215 Reaction score 194 Mar 5, 2018 Thread starter #26 mjingamimi said: nunua ile gund ya doom. Click to expand... Mi wamalizane na paka.. Sitaki nkutane nao wameganda
mjingamimi said: nunua ile gund ya doom. Click to expand... Mi wamalizane na paka.. Sitaki nkutane nao wameganda
Matty96 JF-Expert Member Joined Jul 1, 2013 Posts 215 Reaction score 194 Mar 5, 2018 Thread starter #27 Thad said: Napenda paka ila huyu hata bure simtaki Click to expand... Hahahah.. Hana ndugu yake mwenye sura nzuri kidogo
Thad said: Napenda paka ila huyu hata bure simtaki Click to expand... Hahahah.. Hana ndugu yake mwenye sura nzuri kidogo
Matty96 JF-Expert Member Joined Jul 1, 2013 Posts 215 Reaction score 194 Mar 5, 2018 Thread starter #28 nanawoo said: ninae mmoja kazaa watoto watatu njoo uchukue utawalea mwenyewe hadi wakue wapo na mama yao hapo Click to expand... Wako sehem gani nije kuchukua
nanawoo said: ninae mmoja kazaa watoto watatu njoo uchukue utawalea mwenyewe hadi wakue wapo na mama yao hapo Click to expand... Wako sehem gani nije kuchukua
Thad JF-Expert Member Joined Mar 14, 2017 Posts 13,402 Reaction score 31,652 Mar 5, 2018 #29 Matty96 said: Hahahah.. Hana ndugu yake mwenye sura nzuri kidogo Click to expand... Mchagua jembe si mkulima, chukua huyo mwenye sura ya kazi
Matty96 said: Hahahah.. Hana ndugu yake mwenye sura nzuri kidogo Click to expand... Mchagua jembe si mkulima, chukua huyo mwenye sura ya kazi
nanawoo JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 1,312 Reaction score 1,278 Mar 5, 2018 #30 Matty96 said: Wako sehem gani nije kuchukua Click to expand... temeke nifate private mkuu
Matty96 JF-Expert Member Joined Jul 1, 2013 Posts 215 Reaction score 194 Mar 5, 2018 Thread starter #31 Thad said: Mchagua jembe si mkulima, chukua huyo mwenye sura ya kazi Click to expand... Kuna paka wanang'ata ukikaa vibaya.. Ndo kama hao
Thad said: Mchagua jembe si mkulima, chukua huyo mwenye sura ya kazi Click to expand... Kuna paka wanang'ata ukikaa vibaya.. Ndo kama hao
sizonjemadawa JF-Expert Member Joined Feb 11, 2017 Posts 1,052 Reaction score 1,306 Mar 5, 2018 #32 Matty96 said: Nasumbuliwa na panya waliokosa heshima kabisa.. Kama una paka ambaye ana roho mbaya hata kama unauza ntanunua tafadhali... Akiwa mdogo atafaa zaidi.. Nipo Dar Chang'ombe Click to expand... Nina uwezo wa kujigeuza paka njoo tuongee biashara tatizo lako nitalimaliza
Matty96 said: Nasumbuliwa na panya waliokosa heshima kabisa.. Kama una paka ambaye ana roho mbaya hata kama unauza ntanunua tafadhali... Akiwa mdogo atafaa zaidi.. Nipo Dar Chang'ombe Click to expand... Nina uwezo wa kujigeuza paka njoo tuongee biashara tatizo lako nitalimaliza
Complicator JF-Expert Member Joined Aug 23, 2013 Posts 2,207 Reaction score 3,604 Mar 5, 2018 #33 bhachu said: Huyo hapo, nipe kilo 50 mkuu Click to expand... huyu paka au kitu gani
Matty96 JF-Expert Member Joined Jul 1, 2013 Posts 215 Reaction score 194 Mar 5, 2018 Thread starter #34 sizonjemadawa said: Nina uwezo wa kujigeuza paka njoo tuongee biashara tatizo lako nitalimaliza Click to expand... Inabd ujigeuze kwanza tuone af tuongee biashara sasa
sizonjemadawa said: Nina uwezo wa kujigeuza paka njoo tuongee biashara tatizo lako nitalimaliza Click to expand... Inabd ujigeuze kwanza tuone af tuongee biashara sasa
Thad JF-Expert Member Joined Mar 14, 2017 Posts 13,402 Reaction score 31,652 Mar 5, 2018 #35 Matty96 said: Kuna paka wanang'ata ukikaa vibaya.. Ndo kama hao Click to expand... hao panya wana haki ya kukunyorosha!
Matty96 said: Kuna paka wanang'ata ukikaa vibaya.. Ndo kama hao Click to expand... hao panya wana haki ya kukunyorosha!
sizonjemadawa JF-Expert Member Joined Feb 11, 2017 Posts 1,052 Reaction score 1,306 Mar 5, 2018 #36 Matty96 said: Inabd ujigeuze kwanza tuone af tuongee biashara sasa Click to expand... Usijali mkuu c umeoa maana ukiwepo nyumbani nitakuwa paka ukitoka tu nasoma kitabu how to catch rate
Matty96 said: Inabd ujigeuze kwanza tuone af tuongee biashara sasa Click to expand... Usijali mkuu c umeoa maana ukiwepo nyumbani nitakuwa paka ukitoka tu nasoma kitabu how to catch rate
Matty96 JF-Expert Member Joined Jul 1, 2013 Posts 215 Reaction score 194 Mar 5, 2018 Thread starter #37 sizonjemadawa said: Usijali mkuu c umeoa maana ukiwepo nyumbani nitakuwa paka ukitoka tu nasoma kitabu how to catch rate Click to expand... Nkitoka nakufungia store..
sizonjemadawa said: Usijali mkuu c umeoa maana ukiwepo nyumbani nitakuwa paka ukitoka tu nasoma kitabu how to catch rate Click to expand... Nkitoka nakufungia store..
Thad JF-Expert Member Joined Mar 14, 2017 Posts 13,402 Reaction score 31,652 Mar 5, 2018 #38 Complicator said: huyu paka au kitu gani Click to expand... watakuwa wale paka wanaoliaga usiku kama watu
Complicator said: huyu paka au kitu gani Click to expand... watakuwa wale paka wanaoliaga usiku kama watu
Matty96 JF-Expert Member Joined Jul 1, 2013 Posts 215 Reaction score 194 Mar 5, 2018 Thread starter #39 Thad said: hao panya wana haki ya kukunyorosha! Click to expand... Dawa yao ntaipata tu
Thad JF-Expert Member Joined Mar 14, 2017 Posts 13,402 Reaction score 31,652 Mar 5, 2018 #40 Matty96 said: Dawa yao ntaipata tu Click to expand... Lakini waache tu, maana hawana shamba hao inabidi tuwasaidie
Matty96 said: Dawa yao ntaipata tu Click to expand... Lakini waache tu, maana hawana shamba hao inabidi tuwasaidie