Secret Star
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,708
- 1,553
Nina kiasi Cha mil 15 natafuta Nyumba, zinazopigwa minada na Bank so naomba location za Minada mbalimbali ili nikajaribu bahati
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Hazikalikagi hizo kakaNina kiasi Cha mil 15 natafuta Nyumba, zinazopigwa minada na Bank so naomba location za Minada mbalimbali ili nikajaribu bahati
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Iwe maeneo ya Dsm kasoro Mbagala na chanika.upo wapi,nyumba unaitafutia wapi
Mweleze ndugu yangu.Hazikalikagi hizo kaka
Kwa Million 15 hutaki za Mbagala?Iwe maeneo ya Dsm kasoro Mbagala na chanika.
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Kwa hiyo m15 unategemea kupata nyumba mikocheni kisa inapigwa mnada?Iwe maeneo ya Dsm kasoro Mbagala na chanika.
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Jamaa anatania tuKwa hiyo m15 unategemea kupata nyumba mikocheni kisa inapigwa mnada?
kwa hiyo bei hata kiwanja chenye hati kinachopigwa mnada huwezi pata!
Utalala nje kila siku we jifanye unataka slopeNina kiasi Cha mil 15 natafuta Nyumba, zinazopigwa minada na Bank so naomba location za Minada mbalimbali ili nikajaribu bahati
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Yani wenye akili kubwa wanakimbilia chanika wewe na tu milioni 15 twako unaleta nyodo kanunue basi hizo za minada ili uje kulalamika tena Hapa unasumbuliwa na kizimngara
Kwa Million 15 hutaki za Mbagala?
Jaribu za Masaki!
Kibaha vipi