shedudu
Member
- Oct 5, 2018
- 15
- 32
Habari wapendwa, mie ni kijana wa miaka 29 nilikuwa na fedha vizuri kabisa but nikafukuzwa kazi for now Sina ishu na nilikuwa naishi Mwanza but for now niko Arusha nina week mbili tena nimefikia kwa ndugu.
Nilikuwa na fedha nyingi sana but kwa sasa kitu ambacho nimebaki nacho ni gari brevis tu na sina kazi na sjjasoma niliishia form 6 tu, nilikuwa na biashara zote zimekufa.
Naomba msaada sina kodi wala sehemu ya kukaa,hivyo naomba msaada kama kuna nyumba niwe hata kama nailinda ili nikae bure huku naaangalia nini nafanya hapa town najua Mungu ata-bless na nitarudi kuwa kama mwanzo.
Naomba connection ya nyumba yoyote iliyopo Arusha hata kama ni zile zilizoshindikana (haunted house) mie huwa hazinisumbui kabisa.
Naomba msaada Wanandugu.
Nilikuwa na fedha nyingi sana but kwa sasa kitu ambacho nimebaki nacho ni gari brevis tu na sina kazi na sjjasoma niliishia form 6 tu, nilikuwa na biashara zote zimekufa.
Naomba msaada sina kodi wala sehemu ya kukaa,hivyo naomba msaada kama kuna nyumba niwe hata kama nailinda ili nikae bure huku naaangalia nini nafanya hapa town najua Mungu ata-bless na nitarudi kuwa kama mwanzo.
Naomba connection ya nyumba yoyote iliyopo Arusha hata kama ni zile zilizoshindikana (haunted house) mie huwa hazinisumbui kabisa.
Naomba msaada Wanandugu.