Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,348
Dah,sijaona mtu akitaja "mlango wa mungu u-wazi" au walau japo "fimbo ya mungu" ujue nn kinamshikisha mtu adabu....hizi zinanipeleka mbaliiiii kilwa kisiwani kwenye majahazi haswaa na sio lile la mzee yusuph...
Last edited by a moderator: