Mkuu nilikua nausikiliza zamani RTD kipindi cha mziki wa mwambao, nilishawai kuwa na tape yake ilinipotea hata hivyo bado nautafuta.!Umenikumbusha mbali sana. Nikiwa na umri was miaka 11 nliwahi msindikiza mama sehemu inaitwa Mtupie, Chumbageni basi wee huo wimbo ulikua ukiimba redioni na msusi anaimba kwa hisia nikajikuta naupenda.
Ahsante sana mkuu.
ila kila nikijaribu kui download inafeli na sijajua kwanini.
Labda kama unaweza kunisaidia kwa watsaap nikupm mkuu.
Mi nisaidie ile albam ya bima modern taarabMbona nyingi tu, kajichagulie mwenyewe: https://www.youtube.com/playlist?list=PL16C1B009CF2F425D
Mkuu sio hii taarab hile ni ya mid2000
Umenikumbusha mbali sana. Nikiwa na umri was miaka 11 nliwahi msindikiza mama sehemu inaitwa Mtupie, Chumbageni basi wee huo wimbo ulikua ukiimba redioni na msusi anaimba kwa hisia nikajikuta naupenda.
Mbona nyingi tu, kajichagulie mwenyewe: https://www.youtube.com/playlist?list=PL16C1B009CF2F425D
Wakuu kuna ile moja ya moyo......moyo eeeh ondoa machungu,hayo yalokuufika mwachie Mungu.
nakuasa moyo wangu,tafadhali nisikize........huu ulipigwa sana ile cku ya uchaguzi wa kwanza vyama vingi wakichuana chenkapa,cheyo mapesa na lyatonga.Halafu ile ya manahodha wa ngalawa
Nahodha akae mbele,abiria tuwe nyuma
tuvikwepe vipengele,tupate fika salama salama
manahodha wa ngalawa,kwa nini wakae nyuma
Huyu anataka zilipendwaMwenye wimbo wa kitcheni party wa Marehemu Omary Kopa pia atuwekee