Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
ndugu ukifanikiwa kupata info naomba unishirikishe na mimi ukiweza kupitia 0755966673
nipm nikuconnect kwa muuzaji
Ninao .ni pm kwa maelewano.Habari, naishi Dar. Nataka kuanza mradi wa kufuga nguruwe, ntawafugia bagamoyo. Nahitaji kuanza na nguruwe kumi, kama kutakuwa na mtu yeyote yule atakayekuwa anauza au anamfaham mtu anayeuza hapa Dar au maeneo ambayo ni jirani na Dar naomba anifahamishe.
weka hadharani upate wateja zaidi kama wewe ni muuzaj, nini siri? bei?!!!!Hiyo ni biashara haiwezi wekwa hadharani cos ni makubaliano baina ya watu wawili hasa kwenye bei na maelewano na wauzaji wengine hawako jf
Habari, naishi Dar. Nataka kuanza mradi wa kufuga nguruwe, ntawafugia bagamoyo. Nahitaji kuanza na nguruwe kumi, kama kutakuwa na mtu yeyote yule atakayekuwa anauza au anamfaham mtu anayeuza hapa Dar au maeneo ambayo ni jirani na Dar naomba anifahamishe.
Habari, naishi Dar.
Nataka kuanza mradi wa kufuga nguruwe, ntawafugia bagamoyo. Nahitaji
kuanza na nguruwe kumi, kama kutakuwa na mtu yeyote yule atakayekuwa
anauza au anamfaham mtu anayeuza hapa Dar au maeneo ambayo ni jirani na
Dar naomba anifahamishe.
Habari, naishi Dar. Nataka kuanza mradi wa kufuga nguruwe, ntawafugia bagamoyo. Nahitaji kuanza na nguruwe kumi, kama kutakuwa na mtu yeyote yule atakayekuwa anauza au anamfaham mtu anayeuza hapa Dar au maeneo ambayo ni jirani na Dar naomba anifahamishe.