Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Habari, naishi Dar. Nataka kuanza mradi wa kufuga nguruwe, ntawafugia bagamoyo. Nahitaji kuanza na nguruwe kumi, kama kutakuwa na mtu yeyote yule atakayekuwa anauza au anamfaham mtu anayeuza hapa Dar au maeneo ambayo ni jirani na Dar naomba anifahamishe.