Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,204
- 99,943
Ukiamka tena Leo nipigie tuchati kidogosawa mkuu nitatumia namba ya mtu sitaki wajue ni mimi ila kila mtu kamchoka jamaa watu hatulali yaani kama leo nimejiamkia tu saa saba
Ukiamka tena Leo nipigie tuchati kidogosawa mkuu nitatumia namba ya mtu sitaki wajue ni mimi ila kila mtu kamchoka jamaa watu hatulali yaani kama leo nimejiamkia tu saa saba
Unakaa Kawe mtaa gani ili iwe rahisi kuwaelekeza police waje hapo!?Naombeni msaada wa namba za polisi kawe kuna jirani mkorofi sana akirudi usiku wa manane anawasha mziki kwenye gari kwa nguvu saa kumi na mbili ndo anaingia ndani kwake kulala.Watu hatulali vizuri kumbuka kumi na mbili hyo ndo watu tunaenda kazini hoi.
Unakaa Kawe mtaa gani ili iwe rahisi kuwaelekeza police waje hapo!?
huku mbezi beach walevi tupu wasumbufu yaaniIsije ikawa ni yule mchungaji maarufu aliye rudi mtaani asubuhi na kuanza kuongea ilhali hajavaa viatu. Nasikia nae ni mkazi wa maeneo hayo. Ukimuangalia huyo mtu ni mlevu wa bapa au beer ? Ana lafudhi ya nyanda za juu south ?
Huyo unaemshtaki haishi hapo kwa wastaarabu?MKUU SIWEZI KUFANYA HIVO HALAFU TUNAISHI WATU WASTAARABU SANA HAPA
kwenye msafara wa mamba kenge hakosekanikiHuyo unaemshtaki haishi hapo kwa wastaarabu?
Nipe namba yake ya gari. Deal hio xmas imekaribia.SITAKI AJUE NI MIMI NAMCHOMEA MAANA SIJUI HATA KAMA ANA MAKARATASI YA KUKAA HAPA BONGO
Mbezi Beach Goig, Tangi Bovu, Shulehuku mbezi beach walevi tupu wasumbufu yaani
nakupm dearNipe namba yake ya gari. Deal hio xmas imekaribia.
huku chiniMbezi Beach Goig, Tangi Bovu, Shule
Wewe si ulisema ukibakwa huwa inakuwa tamuu mkuu??NAOGOPA KUTOKA NJE MKUU ANAWEZA ANIBAKE

mtu mwenyewe anaonekana hana utamu wowoteWewe si ulisema ukibakwa huwa inakuwa tamuu mkuu??![]()
isiwe namba yako mkuu maana humu akili zenu?0732 928 723
Nenda Serikali za mitaa,ikishindikana nenda kamshtaki baraza la kataNaombeni msaada wa namba za polisi kawe kuna jirani mkorofi sana akirudi usiku wa manane anawasha mziki kwenye gari kwa nguvu saa kumi na mbili ndo anaingia ndani kwake kulala.Watu hatulali vizuri kumbuka kumi na mbili hyo ndo watu tunaenda kazini hoi.
Siku akija hajalewa na wewe fungulia. Nakumbuka kipindi nafanya kazi za usiu kunajirani alikuwa anafungulia muziko to asubuhi mpaka jion. Nikirudi kazini ata nikimuomba apunguze ananijibu kama sina uwezo wa kununua muziki nisiwanyanyase. Nikasema tu asante nikawa nikotoka night naenda kulala gheto kwa mshikaji mtaa wa tatu. Nilipopata mshahara nikaenda nunua home theater kitu watt 1000. Nikaweka mzigo wa kutosha kwenye flash disk. Nikafungulia muziki mpaka mwisho nkasepa zangu job. Kibaya circuit breaker na main switch viko chumbani. Keshoyake waliomba kikao manina
Miss Natafuta huyo jirani yako ndio pasta BOB LUSE??Naombeni msaada wa namba za polisi kawe kuna jirani mkorofi sana akirudi usiku wa manane anawasha mziki kwenye gari kwa nguvu saa kumi na mbili ndo anaingia ndani kwake kulala.Watu hatulali vizuri kumbuka kumi na mbili hyo ndo watu tunaenda kazini hoi.
Miss natafuta si ndio utakuwa umepata?NAOGOPA KUTOKA NJE MKUU ANAWEZA ANIBAKE
Nije nikusaidie kumtuliza!NAOGOPA KUTOKA NJE MKUU ANAWEZA ANIBAKE
Kuna watu dunia hii wanajiona wao ndio wenye haki tuMkuu ulikuwa umevurugwa na Wewe ukaamua uwavuruge.