Shikono Avant
Senior Member
- Nov 23, 2019
- 118
- 126
Habarini za muda huu, Kama kichwa cha habari kinavyosema, kwamba ninatafuta sehemu ya kujitolea iwe viwandani, garage au karakana yoyote ile.
Lengo:
- Niweze kupata uzoefu (experience) wa kazi za ufundi
- Kujenga team work nawafanyakaz katika kazi (connection)
- Kuendeleza knowledge na skills za kazi
- Kujua jinsi gani ya kuweza kuzikabili changamoto na kuzitatua
Ahsanteni natumaini wahusika wanaohusika na hili watanisikia.
Mimi ni mkazi wa Dar es salaam
Lengo:
- Niweze kupata uzoefu (experience) wa kazi za ufundi
- Kujenga team work nawafanyakaz katika kazi (connection)
- Kuendeleza knowledge na skills za kazi
- Kujua jinsi gani ya kuweza kuzikabili changamoto na kuzitatua
Ahsanteni natumaini wahusika wanaohusika na hili watanisikia.
Mimi ni mkazi wa Dar es salaam