QueenQueen
Member
- Oct 6, 2011
- 26
- 17
- Thread starter
-
- #21
About me:
-Christian
-Msomi
-Najitegemea
Mengineyo tutafahamishana zaidi
Sifa ninazohitaji kwa Mwenzi wangu:
-Awe mtu mzima miaka 35-45
-Christian mwenye hofu ya Mungu
-Awe anaishi Dsm
-Ameenda shule japo degree moja
-Asiwe ameoa wala kua anaishi na mwanamke kwa sasa
-Akiwa ameachika au ana mtoto ni sawa
-Awe na shughuli/kazi inayoeleweka sihitaji tapeli
-Asiwe Mlevi ila kunywa kiasi ni sawa
-Awe na hitaji la kuwa na mtu wa karibu kama ni mapenzi ya Mungu tutaoana
-Awe muwazi kuhusu maisha yake
If interested PM me,namba za simu tutapeana baadae.
Queen, nakushauri acha kunywa, wakaka wengi hawapendi wake wanaokunywa. Kama sawa sema ndio kaka.
hivi kunywa kuna ubaya? Qn amesema sio mlevi.
Kwa kuongezea tu Mlimani City naenda sana tena sio kunywa soda cause pesa za kutumia ninazo.
hahaaaaaaaaaaaaaaa umenifurahishaje hapoumenipata.kama zali vile kila sifa ninayo.nipe maelekezo cha kufanya.usinitose coz mimi ndo nimekuwahi.mia
About me:
-Christian
-Msomi
-Najitegemea
Mengineyo tutafahamishana zaidi
Sifa ninazohitaji kwa Mwenzi wangu:
-Awe mtu mzima miaka 35-45
-Christian mwenye hofu ya Mungu
-Awe anaishi Dsm
-Ameenda shule japo degree moja
-Asiwe ameoa wala kua anaishi na mwanamke kwa sasa
-Akiwa ameachika au ana mtoto ni sawa
-Awe na shughuli/kazi inayoeleweka sihitaji tapeli
-Asiwe Mlevi ila kunywa kiasi ni sawa
-Awe na hitaji la kuwa na mtu wa karibu kama ni mapenzi ya Mungu tutaoana
-Awe muwazi kuhusu maisha yake
If interested PM me,namba za simu tutapeana baadae.
umeshajaribu Mlimani city? Wengi wamefanikiwa kwa kukaakaa pale nje na kuagiza soda...waweza bahatisha..dada.
it seems that ur not serious at all and i have a doughtful with your sex.
Mi nimeipenda hii, i like women who knows what they want and they go for it bila kuogopa maneno ya watu
acha kuchezea akili za watu,