Ni mara ya kwanza nakuja jukwaani hapa kutafuta mwenza. Litakuwa jambo jema kama nitampata mwenye kunififkiria na kuruhusu tuishi pamoja.
Kabla ya kuweka vigezo, naomba nieleze machache hapa chini:
Sijafanikiwa kuwa na kazi maalum ya kuniingizia kipato, kwa hiyo sina kazi kwa sasa japo nimesoma kwa level ya chuo kikuu.
Wasifu wangu;
1. Umri wangu ni miaka 35+.
2. Si mrefu wala mfupi sana.
3. Nina mtoto mmoja.
Mwanamke atakaenifikiria;
1. Awe mrefu wastani.
2. Akubali kuishi na mimi kwa sasa nikiwa naendelea kujitafuta ili kukaa sawa kimaisha.
3. Kabila lolote.
4. Mkristo.
Karibu Pm