Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,031
- 40,064
Kesi iyo wanangu ana mtoto 😅😅😅 temaneni nae jeuri hao
Mimi Driver wa DFP kitambo sana,napiga gear za mashirika na utapata mikaa na misosi ya kutosha zaidi ya engineer na mjeda,na utaishi nyumba nzuri vile vileHata nyie mnakaribishwa but jeshi na engineer ni added advantages ha ha haaaa
TayariMalizana na baba wa mtoto wako
Weeee.....sema kweli😅😅😅Umeaga mashindano
Unajitahidi....MaashaAllahKesi iyo wanangu ana mtoto 😅😅😅 temaneni nae jeuri hao
Na miili yetu wa injini kiuno iko fiti sana tunaweza kusimamia kucha bila kutoka jasho.Sie waendesha maguta hamtutaki na tupo na uaminifu %99.99
Kila la kheri bibie ukibadilisha sifa za hao wawili utucheki na kada zingeni jeshi hatukuendelea kukaa huko.
Added advantage!Hata nyie mnakaribishwa but jeshi na engineer ni added advantages ha ha haaaa
Daah ngoja niwahi nafasi aiseeHata nyie mnakaribishwa but jeshi na engineer ni added advantages ha ha haaaa
DoHabari humu ndani....
Waungwana mimi ni mwanamke wa kiuslam natafuta mwenza wa maisha .
Ningependa awe muislam pia umri kuanzia miaka 35 hadi 50. Akiwa Mwanajeshi au Engineer itakuwa vizuri zaidi.
Nami ni muajiriwa Serikalini....
Kabisaa mkuu leo nikiacha kuendesha guta kesho nazunguka na madafu mji mzima kuanzia kibada mpaka mbezi lousi namalizia boko siku imeisha hiyoo.Na miili yetu wa injini kiuno iko fiti sana tunaweza kusimamia kucha bila kutoka jasho.
Current location ...Habari humu ndani....
Waungwana mimi ni mwanamke wa kiuslam natafuta mwenza wa maisha .
Ningependa awe muislam pia umri kuanzia miaka 35 hadi 50. Akiwa Mwanajeshi au Engineer itakuwa vizuri zaidi.
Nami ni muajiriwa Serikalini....
KhaaaaUna chura, marinda yapo au yametatuliwa, umeolewa au umeachika, mweusi au mweupe, mrefu au mfupi? Funguka mama




😕😕😕Khaaaa![]()
Kaburi la baba wa mwanao lipo wapi?Mtoto ninae...na wala sioni shida kusema nina mtoto so wala sio mtego. Na niko proud kuwa mama
Au Engineer Hersi Said?Current location ...
Mainjinia wapo wengi unataka injinia yupi wewe wa majengo kompyuta kilimo maji barabara mazingira????
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣Mbona mmemtoa mapema ivo😅😅😅Umeaga mashindano
Mie sio mwanajeshi Ila Nina hiyo carrier kwenye mishipa ya damu waKurya wote ni wanajeshi by defaultHata nyie mnakaribishwa but jeshi na engineer ni added advantages ha ha haaaa


Ukikosa Mtu njoo inbobo