unknown animal
JF-Expert Member
- Jul 18, 2012
- 337
- 51
endelea tu kutafuta sisi wote wadogo kwako
kwan kuna binadam mbaya?? au hapo kwenye red umemaanisha nin??...miaka 30 - 45, wa kawaida sio mbaya sana awe mzuri kiasi chake, awe romantic, anayejua maana ya mahusiano, kupenda, kujitoa etc,asiye mweny gubu, wala asiwe mgomvi, mimi ni wa kawaida tu ila nina sifa zinazofana na hizo
Kiruuu! mwanaume mwenye sifa zote hizo utamtoa wapi?tena kwa huo umri unaotaka wengi wameshaoa,labda uende sayari nyingine..kila la kheri!
This is too ideal, sidhani kama utampata mwanaume mwenye vigezo vyote hivyo hapa duniani, labda ukatafute sayari ya Mars...caring, mwaminifu, charming, mwenye hofu ya Mungu, christian, smart in evrything,mwelewa, gud thinking capacity(IQ), miaka 30 - 45, wa kawaida sio mbaya sana awe mzuri kiasi chake, awe romantic, anayejua maana ya mahusiano, kupenda, kujitoa etc
teh teh teh...haya bwana
Ujue mi nishaanza kushangaa pia iwapo bado dunia ina mwanamume mwenye sifa hizo zote!Sifa zote hizo utamapata wapi???
Si unajua mshika mawili....au mtaka cha uvunguni pindua tanda taona
mwembamba kiasi, mrefu, awe msomi at list first degree, independent mind, caring, mwaminifu, charming, mwenye hofu ya Mungu, christian, smart in evrything,mwelewa, gud thinking capacity(IQ), miaka 30 - 45, wa kawaida sio mbaya sana awe mzuri kiasi chake, awe romantic, anayejua maana ya mahusiano, kupenda, kujitoa etc