Natafuta mwandishi wa vitabu

Natafuta mwandishi wa vitabu

AARONI ULAYA

Member
Joined
May 13, 2013
Posts
33
Reaction score
11
Ndugu zangu sina maneno mengi kama wewe ni Mwandishi wa Vitabu nitafute kwa namba 0625568600 au kama unamjua mwandishi niunganishe naye tafadhari apate kazi nzuri
 
Ndugu zangu sina maneno mengi kama wewe ni Mwandishi wa Vitabu nitafute kwa namba 0625568600 au kama unamjua mwandishi niunganishe naye tafadhari apate kazi nzuri
Author au publisher be specific usaidiwe, hao ni watu wawili tofauti ila kwa kiswahili hutumia neno moja muandishi.
 
Author au publisher be specific usaidiwe, hao ni watu wawili tofauti ila kwa kiswahili hutumia neno moja muandishi.
Kaisha sema boss anatafuta mwandishi wa vitabu na sio mchapishaji
 
Kaisha sema boss anatafuta mwandishi wa vitabu na sio mchapishaji
Mwandishi anaandika content zake, kutoka kichwani mwake yeye anataka wa nini? kumpa kipi cha kuandika wakati haijui content? Au anahotaji publisha kumpublishia kitabu chake?
 
Ndugu zangu sina maneno mengi kama wewe ni Mwandishi wa Vitabu nitafute kwa namba 0625568600 au kama unamjua mwandishi niunganishe naye tafadhari apate kazi nzuri
BTW neno sahihi ni ''tafadhali''. Huwa nasikitika sana kuona jinsi neno linalotumiwa kila siku kama ''tafadhali'' likiwashinda watu wengi kuandika.
 
Back
Top Bottom