Utakuwa unakuwa na shida somewhere, wanaume huwa hawaachii mwanamke mzuri na mwenye vigezo abakie mtaani akizurula.Hivi mtu ukiwa hutongozwi unakuwa na tatizo?
Dhehebu jipya nadhani.K.K.T itapendeza
Umeo au bado?duh sifa zake kaweka kidunchu ila za anaemtaka izo lundo utafikiri milima ya buzwagi...umechina bidada utasaga lami sana
InafikirishaDini tu
Umenifurahisha Uko Poa SanaaKwa aliyetayari kwenda kwenye hatua hii.
Najua wengi mtajiuliza kama huko mtaani sikutani na wanaume, kwanza wanaume wapo wengi mtaani lakini kutokana na nature yangu mimi mizunguko yangu huwa ni kwenye shughuli zangu na kurudi home.
Ninao kutana nao wengi kwanza hawaamini kama nipo single na wengine ni waume za watu hivyo inanipa wakati mgumu naishia kubaki single.
Umefika muda nataka kutulia kuwa mke kwa mume na mama wa familia, nitafurahi kama nikipata mtu mwenye interest hizo. Najua kuna wanaume wengi tu wapo tayari kuoa lakini kwenye circle yao hawaoni watu walio tayari kama ilivyo upande wangu.
Naomba niweke vitu vya muhimu ambavyo ningependa muhusika awe navyo angalau;
Vigezo
1) Awe anaishi Dar preferably, mikoa mingine long distance relationship ni tatizo, Dar atapewa kipaumbele zaidi.
2) Awe na kipato stable cha kumudu familia yake, nikimaanisha kuanzisha familia isiwe mzigo kwake, au mpaka ajipange. Mtu ninaemuongelea hapa ni ameshajipanga kuoa.
3) Awe ni mtu ana utu na hofu ya Mungu, mkristu R.C Au K.K.T itapendeza.
5) Mrefu asiwe chini ya 170cm.
6) Ambae hana mtoto au kama ana mtoto mmoja akizidi mmoja ni changamoto haswa kama kwa mama wawili tofauti.
7) Umri miaka 33 kuendelea.
8) Awe mtafutaji, amechangamka. Kuna wanaume wapo wamezubaa jamani, mtu anaeridhika na maisha kirahisi itakuwa changamoto maana mimi nipo sharp, pia nikipata sharp mwenzangu tutaenda sawa.
9) Awe na mpango wa kuoa mwaka huu, mimi si mtu complicated, aina ya ndoa just a simple one. Kama wote tuna nia moja kila mtu ameamua kutulia naamini inawezekana.
Sifa zangu
~ Ni mrefu, maji ya kunde, umbo la wastani; sio mwembamba sio mnene, umri miaka 27.
~ Nimejiajiri.
~ Sina mtoto.
~ Mcheshi kiasi, mkimya kiasi.
~ Mengine tutaelewana tukishaongea Mungu akijalia huko PM.
Mungu akuwezeshe upate hitaji la moyo.Trust me believing is seeing.receive your miracle nowKwa aliyetayari kwenda kwenye hatua hii.
Najua wengi mtajiuliza kama huko mtaani sikutani na wanaume, kwanza wanaume wapo wengi mtaani lakini kutokana na nature yangu mimi mizunguko yangu huwa ni kwenye shughuli zangu na kurudi home.
Ninao kutana nao wengi kwanza hawaamini kama nipo single na wengine ni waume za watu hivyo inanipa wakati mgumu naishia kubaki single.
Umefika muda nataka kutulia kuwa mke kwa mume na mama wa familia, nitafurahi kama nikipata mtu mwenye interest hizo. Najua kuna wanaume wengi tu wapo tayari kuoa lakini kwenye circle yao hawaoni watu walio tayari kama ilivyo upande wangu.
Naomba niweke vitu vya muhimu ambavyo ningependa muhusika awe navyo angalau;
Vigezo
1) Awe anaishi Dar preferably, mikoa mingine long distance relationship ni tatizo, Dar atapewa kipaumbele zaidi.
2) Awe na kipato stable cha kumudu familia yake, nikimaanisha kuanzisha familia isiwe mzigo kwake, au mpaka ajipange. Mtu ninaemuongelea hapa ni ameshajipanga kuoa.
3) Awe ni mtu ana utu na hofu ya Mungu, mkristu R.C Au K.K.T itapendeza.
5) Mrefu asiwe chini ya 170cm.
6) Ambae hana mtoto au kama ana mtoto mmoja akizidi mmoja ni changamoto haswa kama kwa mama wawili tofauti.
7) Umri miaka 33 kuendelea.
8) Awe mtafutaji, amechangamka. Kuna wanaume wapo wamezubaa jamani, mtu anaeridhika na maisha kirahisi itakuwa changamoto maana mimi nipo sharp, pia nikipata sharp mwenzangu tutaenda sawa.
9) Awe na mpango wa kuoa mwaka huu, mimi si mtu complicated, aina ya ndoa just a simple one. Kama wote tuna nia moja kila mtu ameamua kutulia naamini inawezekana.
Sifa zangu
~ Ni mrefu, maji ya kunde, umbo la wastani; sio mwembamba sio mnene, umri miaka 27.
~ Nimejiajiri.
~ Sina mtoto.
~ Mcheshi kiasi, mkimya kiasi.
~ Mengine tutaelewana tukishaongea Mungu akijalia huko PM.
Just Pm who knowsHua havikosi vitu vya kuninyima sifa mwanzo ilikua ni umri pekee leo imeongezeka urefu.
Mungu akujaalie.
Sio kweli atapata ni vyema kuwa muwazindo maana bado upo singo
Halafu wanaume wengine wa gunuy JF hapo Romantic tangu lini mrembo akaitwa mkuu aaah babu jiongeze kidogoduh......
mkuu umefanya profiling kama unatafuta mhalifu aiseee, mbona vigezo vingi hivyo?
Msome kwanza sio wote wanaotongozwa hasa Hawa warembo sanaWewe kwanini hutongozwi? Kuna tatizo sehemu... Anyways all the best.
Hata mtaani husema najuta kukuona mtandaoni si hojaBe realistic mrembo. Otherwise ni vizuri ukaanza kujichanganya na watu huko unapoishi.
Maswala tunaoana, alaf tukigombana kidogo tu utasikia "Najuta kutafuta mume mtandaoni"
Nitampotezea muda tayari ashasema anataka mrefu na mimi siyoJust Pm who knows
Kwani lazima iwe huku, jaribu hata mtaani huko.Hua havikosi vitu vya kuninyima sifa mwanzo ilikua ni umri pekee leo imeongezeka urefu.
Mungu akujaalie.
Kwani walio mtaani si ndiyo wamejiunga humu?Kwani lazima iwe huku, jaribu hata mtaani huko.
PM usiogope,huyo anataka urefu wa chini,na siyo urefu wa juu!!Nitampotezea muda tayari ashasema anataka mrefu na mimi siyo