Natafuta mwanaume nitakaye mpenda sana

Natafuta mwanaume nitakaye mpenda sana

zainabyon

Member
Joined
Jul 30, 2014
Posts
25
Reaction score
5
kama kuna mkaka anaishi na virusi vya ukimwi au unarafiki yako naomba uni PM tupate kuongea mm naitaji mwanaume aliyeathirika npate kuishi nae hili suala nliloamua mimi ingawa mm cjaathirika nataka kumpa maisha ya mapenzi na asijutie kuwa duniani
 
Umesema? Hujaathirika unataka mwathirika?
^^
 
fashion imeingia mjini naona...
mtafute Khantwe huyu atakusaidia
 
Last edited by a moderator:
kama kuna mkaka anaishi na virusi vya ukimwi au unarafiki yako naomba uni PM tupate kuongea mm naitaji mwanaume aliyeathirika npate kuishi nae hili suala nliloamua mimi ingawa mm cjaathirika nataka kumpa maisha ya mapenzi na asijutie kuwa duniani

Unaongea kutoka mirembe au upo uraiani? Nenda mhimbili au fika kijitonyama karibu na kanisa la kkt wanachama chao ukajichagulie umpendae.
 
Naona tayari kazi ushaapata, sasa ni zamu yakutafuta mwanaume sio?
 
kama kuna mkaka anaishi na virusi vya ukimwi au unarafiki yako naomba uni PM tupate kuongea mm naitaji mwanaume aliyeathirika npate kuishi nae hili suala nliloamua mimi ingawa mm cjaathirika nataka kumpa maisha ya mapenzi na asijutie kuwa duniani

Kwa akili hizi kweli katiba tutapata?
 
kama kuna mkaka anaishi na virusi vya ukimwi au unarafiki yako naomba uni PM tupate kuongea mm naitaji mwanaume aliyeathirika npate kuishi nae hili suala nliloamua mimi ingawa mm cjaathirika nataka kumpa maisha ya mapenzi na asijutie kuwa duniani

A call for ''men HIV prevalence census in JF community''. Ila hutafaulu zoezi lako mdada
 
acheni majibu ya kunyaa we kama hakija kuhusu pita mimi nina akili timamu na wala co mwehu kama unavyadhani just ni uamuzi wa mtu kuishi maisha anayotaka mimi nina ahadi kuishi na mtu huyo so cwez kuvunja ahadi ww kama unajijua upo nahali hyo nitafute kimykmy
 
kama kuna mkaka anaishi na virusi vya ukimwi au unarafiki yako naomba uni PM tupate kuongea mm naitaji mwanaume aliyeathirika npate kuishi nae hili suala nliloamua mimi ingawa mm cjaathirika nataka kumpa maisha ya mapenzi na asijutie kuwa duniani

Mpende Bwana Mungu wako
 
acheni majibu ya kunyaa we kama hakija kuhusu pita mimi nina akili timamu na wala co mwehu kama unavyadhani just ni uamuzi wa mtu kuishi maisha anayotaka mimi nina ahadi kuishi na mtu huyo so cwez kuvunja ahadi ww kama unajijua upo nahali hyo nitafute kimykmy

ushaanza dozi? Nakuja mamy tusaidiane kula ARVs. Nipo tayari kujilipua kwa ajili yako bebito
 
kama kuna mkaka anaishi na virusi vya ukimwi au unarafiki yako naomba uni PM tupate kuongea mm naitaji mwanaume aliyeathirika npate kuishi nae hili suala nliloamua mimi ingawa mm cjaathirika nataka kumpa maisha ya mapenzi na asijutie kuwa duniani

Wewe haujahathirika ila unataka ambaye kaathirika ndiyo kusema hayo masharti mapya ya mganga wako kupata utajiri au!!?😳😳
 
wengine humu hata kupima hamjapma mm nkmpta yy atakuwa shahidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom