Natafuta mwanaume nitakaye mpenda sana

Natafuta mwanaume nitakaye mpenda sana

Ingekuwa busara kumuuliza mleta mada kwanini anataka mtu wa namna hiyo ili tuweze kujua, lakini sio kumkashifu. Nina amini ana sababu zake za msingi.

Mbona ume jibu wewe kama nimulize mleta post?
 
kama kuna mkaka anaishi na virusi vya ukimwi au unarafiki yako naomba uni PM tupate kuongea mm naitaji mwanaume aliyeathirika npate kuishi nae hili suala nliloamua mimi ingawa mm cjaathirika nataka kumpa maisha ya mapenzi na asijutie kuwa duniani
Kwani wodi yao si unaijuwa..?? Nenda huko..
 
kama kuna mkaka anaishi na virusi vya ukimwi au unarafiki yako naomba uni PM tupate kuongea mm naitaji mwanaume aliyeathirika npate kuishi nae hili suala nliloamua mimi ingawa mm cjaathirika nataka kumpa maisha ya mapenzi na asijutie kuwa duniani

Pole zainabyon, just to advice, sit down and relax; I am sure God will help you get a new idea.
 
Mmmeacha kujadili mada mmekimbilia kumshambulia mtu binafsi na kuleta ushabiki wa kuhukumu.
 
:llama::llama::llama::llama::llama:
 
Mmmeacha kujadili mada mmekimbilia kumshambulia mtu binafsi na kuleta ushabiki wa kuhukumu.

Taasisi za afya zinapiga vita sababu zozote zinazopelekea maambukizi mapya ya VVU...
 
Kwanini habari za kustaajabisha kama hizi huwa zinaletwa kwa kutumia ID mpya?
 
bibie kazi ushapata?naona jukwaa la kazi umetoa post zaidi ya 3 ukiomba upate kazi yoyote mara tena umehamia huku unatafuta mpenz muathirika,hehehe naomba nikupeleke FEMALE PSYCHIATRIC WARD

huyu ndugu kavurugwa si bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom