Natafuta mwanaume nitakaye mpenda sana

Natafuta mwanaume nitakaye mpenda sana

wengine humu hata kupima hamjapma mm nkmpta yy atakuwa shahidi

Kwa hawa madaktari wetu wa BRN ambao unakuta mgonjwa anayetakiwa operation ya kichwa anafanyiwa ya mguu... Una uhakika gani kama majibu waliyokupa ni ya kwako na sio ya mwenzio
 
Upo sahihi kabisa dada maana huwezi kuhukumu mtu hujui alipataje huo ugonjwa.... Ukitaka kupatatakwim ya ukimwi nenda hospital ukaone inawezekana hata mkeo kaadhirika. Siku hizi ukimwi sio ugonjwa hata kidogo. Kuliko cancer, kisukari na mengineyo.
So muachen dada yangu kwa maamuzi yake
 
Karibu kwa yesu yeye anaweza,uamuzi wako ni mzuri lakini hauna mantiki,kwani unaweza kumsaidia mtu na akajihisi yuko vizuri hata bila kuishi naye,upendo unaanzia tunapoishi sio kuwatafuta watu,soma neno.
 
kama kuna mkaka anaishi na virusi vya ukimwi au unarafiki yako naomba uni PM tupate kuongea mm naitaji mwanaume aliyeathirika npate kuishi nae hili suala nliloamua mimi ingawa mm cjaathirika nataka kumpa maisha ya mapenzi na asijutie kuwa duniani

bibie kazi ushapata?naona jukwaa la kazi umetoa post zaidi ya 3 ukiomba upate kazi yoyote mara tena umehamia huku unatafuta mpenz muathirika,hehehe naomba nikupeleke FEMALE PSYCHIATRIC WARD
 
Eti wewe kama mzazi wa huyu binti, ungesemaje?
 
Kwa akili hizi kweli katiba tutapata?

Ingekuwa busara kumuuliza mleta mada kwanini anataka mtu wa namna hiyo ili tuweze kujua, lakini sio kumkashifu. Nina amini ana sababu zake za msingi.
 
acheni majibu ya kunyaa we kama hakija kuhusu pita mimi nina akili timamu na wala co mwehu kama unavyadhani just ni uamuzi wa mtu kuishi maisha anayotaka mimi nina ahadi kuishi na mtu huyo so cwez kuvunja ahadi ww kama unajijua upo nahali hyo nitafute kimykmy
Weka wazi kuwa nawe Ushanasa so unamtafuta wa kusongesha life nae na si kuzuga watu et ahadi, haya bhana.
 
Hili ni tatzo la mtu kuwa na uwezo mdogo wa kufkiria.....poor you
 
*#@$*#@@!!, Samahani mtoa threads hii, naomba nikuulize lengo lako la kutaka mtu aliyeathirika ni nini? Sababu yako ya ndani kabisa yenye mantiki ni ipi ili watu waweze kukuelewa? Ni kitu cha ajabu, ila nina uhakika wewe kama wewe unayo sababu ya msingi kab'saaaaa kufanya hivyo. Ebu funguka dada, tujuze A to Z.
 
moyo wako na ubarikiwe kama kweli wamaanisha....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom