Kinyozi wetu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 324
- 194
hivi hawa wanaongea vibaya kuhusu hii post wanajua kesho yao... kizazi hiki hakikimbii VVU Im sure 10000%.
Ubaguzi huo...kuwa na VVU si sababu ya kujitenga kimahusiano na wasiokuwa na VVU. Kupenda ni kupenda tu, uwe au usiwe na VVU, zipo discordant couples nyingi tu na wanapendana kwa dhati!
Kwaiyoo wewe ukipenda mwanamke mweusi weupe umewabagua?? Anavyotaka mwenye VVU ni kigezo chake. Mambo ubaguzi ni wewe unayaingiza hapa.
hivi hawa wanaongea vibaya kuhusu hii post wanajua kesho yao... kizazi hiki hakikimbii VVU Im sure 10000%.
Sijamlazimisha...nimesema ni ubaguzi!
Kitonga a.k.a mteremko a.k.a slope
kila la heri....
Pole sana na pia hongera kwa ubinadamu mkubwa uliokuwa nao wa kutoamua kuwaathiri wengine kama wafanyavyo baadhi ya Waathirika, Mungu akubariki sana kwa hilo na kila la heri katika utafutaji wako.