Tafuta wa kulea mimba kati yako na yule umpendaye. Hivi akipatika kichaa mmoja, mtoto huyo utamwachia au unategemea akuachie? Tofautisha kati ya huyu unayetaka akufungule miguu mpaka uhakikishe umemjaza, halafu aende kukaa hukooo mpaka afike siku ya kuzaa, umpeleke labour, akisha toa hicho kiumbe, uchukue kiumbe chako. Ati yoote hayo ni kwa sababu una fweza, lala na hiyo fweza ikupatie mtoto. Ka ulichezea wa kwako leo imekula kwako. Mali zako andikia mbwa wasio na wenyewe ambao siku hizi ni wengi tu