Kwani lazima uzae na mwanamke?
Wanawake wamegoma kuzalishwa bila ndoa halafu kuja kusimangwa huku....
Na alie tayari kuzaa bila ndoa anataka mtoto ammiliki peke yake, baba atasingiziwa alikufa kwenye ajali ya meli so hana kaburi.
Uyaya huo nilikataa mie. Yani naingia tu na majukumu mazito...Wakishaakuzalisha, kila utakae kuwa nae kwenye mahusiano: akiskia tu unamtoto anapita kushoto ila wao sasa kwa wanavyopenda wakuoe ili tu ukalee watoto wao! unakuta anawatoto hata wanne kila mtoto na mama yake na anataka kuoa ili apate mtu wa kumlelea wanae!
haya bhana,nimerudi kama awali
Thats why i love you.
Uyaya huo nilikataa mie. Yani naingia tu na majukumu mazito...
Ila kweli kuna wanawake wana moyo aisee...
Mkaka ana watato WATANO... yani TANO ile 5
Kaoa mdada ana 26yrs sasa labda huyo dada asipngeze mtoto maana hao watoto hakuna aliefika miaka 10. Umri wa shuleni.
I love u too baby
Tafuta wa kulea mimba kati yako na yule umpendaye. Hivi akipatika kichaa mmoja, mtoto huyo utamwachia au unategemea akuachie? Tofautisha kati ya huyu unayetaka akufungule miguu mpaka uhakikishe umemjaza, halafu aende kukaa hukooo mpaka afike siku ya kuzaa, umpeleke labour, akisha toa hicho kiumbe, uchukue kiumbe chako. Ati yoote hayo ni kwa sababu una fweza, lala na hiyo fweza ikupatie mtoto. Ka ulichezea wa kwako leo imekula kwako. Mali zako andikia mbwa wasio na wenyewe ambao siku hizi ni wengi tu
Xo xo xo xo xo
Unanichora eeeh
Why?????
Njoo tuzae
Hi? Wana Jf Natafuta Mwanamke Wa Kuzaa Nae Mtoto,ataekua Tayar Ani Pm Tayari Kwa Mawasiliano.Asanten Sana
Uyaya huo nilikataa mie. Yani naingia tu na majukumu mazito...
Ila kweli kuna wanawake wana moyo aisee...
Mkaka ana watato WATANO... yani TANO ile 5
Kaoa mdada ana 26yrs sasa labda huyo dada asipngeze mtoto maana hao watoto hakuna aliefika miaka 10. Umri wa shuleni.