Chemistry ya kazi na mke ikoje mkuu?Mkuu na kazi zote mke huna kabisa.
Habari ndiyo iyo, siku hizi kama wakaa kwa uncle hama mkuu. Maisha ya sasa ili uwe na mke angalau uwe na kwako na harakati zinazosomeka. Hapo ndio utapata familyChemistry ya kazi na mke ikoje mkuu?
Una maana sie tunaokaa kwa mjomba tutasubiri sana?
hahahah Umeongea kwa hisia sana mkuu, Shukrani kwa ushauri nitaufanyia kazi.Habari ndiyo iyo, siku hizi kama wakaa kwa uncle hama mkuu. Maisha ya sasa ili uwe na mke angalau uwe na kwako na harakati zinazosomeka. Hapo ndio utapata family
Usiwe na chura kabisaaa
hahahah Umeongea kwa hisia sana mkuu, Shukrani kwa ushauri nitaufanyia kazi.
Me nakutakaAwe na chura ? Ama hata sisi wenye flat tunaruhusiwa kuja mkuu?
Ahsante nakutaka piaMe nakutaka
Chukua contact yangu usisahau kunitext: 0710875425Ahsante nakutaka pia
😂😂😂 mkuu ulimtext jamaa anahisia kali na wewe, yupo tayari kuuza mbuzi akuoe.Ahsante nakutaka pia
Duh kumbe ulinipa no sikuiona jamani babe😘 nakutext soonChukua contact yangu usisahau kunitext: 0710875425
Tayari tushaongea harusi mwezi june mkuu karibu😀😀 tunauza mbuzi zizi zima kwani hii dunia ni yetuu😛😂😂😂 mkuu ulimtext jamaa anahisia kali na wewe, yupo tayari kuuza mbuzi akuoe.
Yaani weweAhsante nakutaka pia
Hi dear! Acha tutakane tu bana😀 afu sijakuona mda, uko poa?Yaani wewe
😂😂 kwa sababu umebainisha hivyo kila kitu kiko sawa 😊😊Tayari tushaongea harusi mwezi june mkuu karibu😀😀 tunauza mbuzi zizi zima kwani hii dunia ni yetuu😛