Natafuta mwanamke wa kuoa awe HIV+

Natafuta mwanamke wa kuoa awe HIV+

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
6,132
Reaction score
10,514
Habari

Mimi ni kijana mwenye miaka 30
Sifa zangu:
Rangi: Mweusi sio sana
Kimo: Mrefu wastani
Elimu: Bachelor Degree ya Information Tech
Kazi: IT Support (Sekta Binafsi)
Mkoa kuzaliwa : Geita
Kuishi: Arusha
Dini: Mkristo

Mwanamke sifa zake
1. Asiwe mfupi sana awe na kimo cha kawaida.
2.Awe mkristo muislam sawa ila awe tayari kuanzisha familia.
3. Elimu wastani awe ni kidato cha nne
4. Umri wake awe kati ya 20-28
5. Kigezo cha muhimu kabisa ni lazima awe HIV+
Akitokea Arusha ama Kilimanjaro itakuwa vizuri zaidi.
 
Meza dawa kwa wakati,kula vizuri,sali sana,fanya mazoezi then Jali wengine.


Mke sikilizia wanakuja
 
Habari

Mimi ni kijana mwenye miaka 30
Sifa zangu:
Rangi: Mweusi sio sana
Kimo: Mrefu wastani
Elimu: Bachelor Degree ya Information Tech
Kazi: IT Support (Sekta Binafsi)
Mkoa kuzaliwa : Geita
Kuishi: Arusha
Dini: Mkristo

Mwanamke sifa zake
1. Asiwe mfupi sana awe na kimo cha kawaida.
2.Awe mkristo muislam sawa ila awe tayari kuanzisha familia.
3. Elimu wastani awe ni kidato cha nne
4. Umri wake awe kati ya 20-28
5. Kigezo cha muhimu kabisa ni lazima awe HIV+
Akitokea Arusha ama Kilimanjaro itakuwa vizuri zaidi.
Watakuja wakuulize" we ukimwi wake unautaka wa nin! Wabongo..

Kila la heri..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom