Cele90
Member
- Mar 19, 2015
- 39
- 19
Husika na kichwa cha habari,
Nina umri wa miaka 26, nina elimu ya chuo kikuu na ajira pia. Natafuta mwanamke mwenye sifa zifuatazo ambapo Mungu akipenda aje kua mke wangu wa ndoa;
a. Muislam
b. Umri wa miaka 22-25
c. Uwe mweupe, sio "black beauty"
d. Elimu kuanzia Form 4
e. Uwe na tabia njema, mimi sio mtu wa malumbano
Kama una vigezo tajwa tuwasiliane kupitia PM.
Nina umri wa miaka 26, nina elimu ya chuo kikuu na ajira pia. Natafuta mwanamke mwenye sifa zifuatazo ambapo Mungu akipenda aje kua mke wangu wa ndoa;
a. Muislam
b. Umri wa miaka 22-25
c. Uwe mweupe, sio "black beauty"
d. Elimu kuanzia Form 4
e. Uwe na tabia njema, mimi sio mtu wa malumbano
Kama una vigezo tajwa tuwasiliane kupitia PM.