Natafuta mwanamke wa kiislamu wa kuzaa nae

Jugado

JF-Expert Member
Oct 28, 2021
1,449
3,135
Vigezo:
1. Awe muislamu
2. Umri miaka 20-26 au around that age.
3. Hakutakua na mapenzi kati yetu just need a child.
4. Mtoto akifika miaka 3 namchukua.
5. Malipo milioni mbili ukishika mimba. Milioni tatu mtoto akizaliwa salama. Milioni tano ukinikabidhi mtoto.

N.B. Mimi nimeoa na Nina watoto wa kike 4.
Nitafurahi mtoto akitoka dume ila hata akitoka vyovyote poa tu. Kama upo serious njoo pm.
 
Si ununue incubator ya hiyo hela?
Si ununue incubator ya hiyo hela?
Mke wako anashida gani? Hawezi kukuzalia tena? Huna "MASURIA" hapo nyumbani kwako?
Mtoto wa mwisho ni mdogo ila ilikua tafrani nadhani yeye katosheka.

Znz,Tanga,mtwara,lindi,singida,kigoma na pwani kafanye tour Samia utawapata
Ewala hiyo issue ya Zanzibar mbona kama imekaa poa sana
 
Aisee ni ngumu ninavyowajuwa wadada wakislamu weh umeingia chaka la kongo hivi kwanza utawaambia nini wazazi wake unamzalisha halafu unachukua mtoto walahi humpati tupo hapa ukipata nipe mrejesho
 
Vigezo:
1. Awe muislamu
2. Umri miaka 20-26 au around that age.
3. Hakutakua na mapenzi kati yetu just need a child.
4. Mtoto akifika miaka 3 namchukua.
5. Malipo milioni mbili ukishika mimba. Milioni tatu mtoto akizaliwa salama. Milioni tano ukinikabidhi mtoto.

N.B. Mimi nimeoa na Nina watoto wa kike 4.
Nitafurahi mtoto akitoka dume ila hata akitoka vyovyote poa tu. Kama upo serious njoo pm.
Hakuna mapenzi!!! Huyo sio muislam. Kigezo cha dini ondoa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom