Nimeamua kujitosa kutafuta Mwanamke mwenye sifa zifuatazo:_
a. elimu angalau kidato cha sita
b.awe anatoka nchi za A/ mashariki
c. awe anaishi USA au UK
d. hanakazi au anakazi - sintojali
e. awe anaweza kuongea Kiswahili japo kidogo
Mimi nafanya biashara nasafiri kati ya USA/UK/DUBAI. Elimu yangu ni zaidi ya Bachelor degree. sichagui dini, kabila wala rangi.
aliyeko serious ani PM.
Nimeamua kujitosa kutafuta Mwanamke mwenye sifa zifuatazo:_
a. elimu angalau kidato cha sita
b.awe anatoka nchi za A/ mashariki
c. awe anaishi USA au UK
d. hanakazi au anakazi - sintojali
e. awe anaweza kuongea Kiswahili japo kidogo
Mimi nafanya biashara nasafiri kati ya USA/UK/DUBAI. Elimu yangu ni zaidi ya Bachelor degree. sichagui dini, kabila wala rangi.
aliyeko serious ani PM.
Mmmh karibu tena, nilfikiri kifurushi kimeisha....kwa kweli too long. Umepata eehMakarasi ndo nini?sijakuelewa...!!
Makarasi ndo nini?sijakuelewa...!!
Hapa ni mke kwanza...business baadaye, but you can inbox me if your interested!
Wewe .wenyewe uko nji gani? Mbona unaingia kwenye net kwa manati kama vile uko sudani kusini?
Nimeamua kujitosa kutafuta Mwanamke mwenye sifa zifuatazo:_
a. elimu angalau kidato cha sita
b.awe anatoka nchi za A/ mashariki
c. awe anaishi USA au UK
d. hanakazi au anakazi - sintojali
e. awe anaweza kuongea Kiswahili japo kidogo
Mimi nafanya biashara nasafiri kati ya USA/UK/DUBAI. Elimu yangu ni zaidi ya Bachelor degree. sichagui dini, kabila wala rangi.
aliyeko serious ani PM.
Jamani wana JF, Thread hii haijafanikiwa, bado unaruhusiwa kuchangia kama wewe ni mwana mke na uko unatafuta mume wa kuolewa naye...
Hakuna, bado nasaka...naona sifa zimewashinda!