AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
Nenda Mlimani City wamejaa pale
Habari Za Tunisia?Mie niko Tunisia, legeza masheriti basi nifanye application baba
Afadhali uangalie net tu.....mbeba box anaijulia wapi beimkuu huko lamborghine ni dola ngapi mkuu kwa sasa

Ikuodo wiya JapuonyNimeamua kujitosa kutafuta Mwanamke mwenye sifa zifuatazo:_
a. elimu angalau kidato cha sita
b.awe anatoka nchi za A/ mashariki
c. awe anaishi USA au UK
d. hanakazi au anakazi - sintojali
e. awe anaweza kuongea Kiswahili japo kidogo
Mimi nafanya biashara nasafiri kati ya USA/UK/DUBAI. Elimu yangu ni zaidi ya Bachelor degree. sichagui dini, kabila wala rangi.
aliyeko serious ani PM.
Kongosho jinsi yako ni complicated.hiyo PM nimetuma
wengine wablock basi.