Natafuta mwanamke mwenye uwezo kifedha

Natafuta mwanamke mwenye uwezo kifedha

TECH WIZ

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
1,675
Reaction score
555
Mimi ni mwanaume msomi mwenye elimu ya chuo kikuu,sina kazi lakini nina mipango mingi ya kuwa mtu mwenye mafanikio makubwa kimaisha,ninapenda kufanya shughuli za kujiajiri ila tu mtaji sina.natafuta mwanamke atakaye nirahisishia mipango ya kimaendeleo.ninaahidi kuwa mwenza mwema na mwaminifu.namba yangu ni:0769743787
 
kama tatizo ni mtaji kwa nini uwaze kupata kupitia rushwa ya ngono?si utafute njia sahii japo najua utawezeshwa.
 
Mimi ni mwanaume msomi mwenye elimu ya chuo kikuu,sina kazi lakini nina mipango mingi ya kuwa mtu mwenye mafanikio makubwa kimaisha,ninapenda kufanya shughuli za kujiajiri ila tu mtaji sina.natafuta mwanamke atakaye nirahisishia mipango ya kimaendeleo.ninaahidi kuwa mwenza mwema na mwaminifu.namba yangu ni:0769743787

With such objective be aware and prepared for HIV and other sexual transmitted gifts consequence.
 
Soma vizuri hapo juu,sitafuti kitu kupitia rushwa ya ngono nafuta mwenza
 
unauza ngono upate mtaji, tafuta mkopo au anza na kazi yeyote,weka vyeti kabatini kwanza.
 
mwenza mwenye helaaaa....teheteheeee kwako atapata naniliiuuu tuuu ...teheteeehee!! hii ipo mahali yake kwakwelii... Haya wenye shida ya naniliiuu lakin wawe na fedha za kuwezesha ndoto za jaaangu hapaa njoonii!!
 
Hutafuti rushwa ya ngono?kama umefika chuo kikuu unafikiri tafsiri ya maandishi yako hapo juu ni nini? "mwanamke akupe mtaji utakuwa mpenzi mwema"hahhahh
 
Du kazi ni janga la kitaifa kwa kweli, haya msadidieni mwenzetu
 
unatuaibisha!! Dume zima unatafuta kulelewa!! Hicho chuo umesoma cha wapi!!! Aarrgh!!!
 
unauza ngono upate mtaji, tafuta mkopo au anza na kazi yeyote,weka vyeti kabatini kwanza.

weka vyeti kabatini kama ulivyoshauriwa hapa piga tempo job ktk viwanda wkt unaapply kazi sehemu nyingne mtu mzima degree order kusalenda kuwa marioo nomaaa pambanaaa.
 
Hela zake ahangaike kuzitafuta mwenyewe kula ndo umtafute mle wote, na wewe hangaikia zako shenzi type
 
Siku utayokuwa mwanaume utaacha kuwa na mawazo mgando kama haya...
 
Back
Top Bottom