idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
sababu 6 kwa nini napenda bia kuliko mwanamke...! 1;ukienda baa una uhakika wa kupata bia bila kubembeleza (haina mapozi) 2; ukiagiza bia ya pili ya kwanza haichukii (haina wivu) 3;Unapoagiza bia una uhakika wewe ndio wa kwanza kuifungua (huwa bikira) 4;unaweza kushirikiana na mwenzia bila wivu wowote. 5; wakati ukinywa bia hata ukojoe mara ngapi (hamu haiishi) 6; bia siku zote haindi mwezini wala siku zake, bia siwezi kuiacha naipenda sana.!