Natafuta mwalimu Wa kijerumani

Samahani naomba nikushauri kitu..kabla hujaamua kufundishwa kijerumani unionaje ukifundishwa kiswahili na sarufi zake?? nikiwa na maana ya kuwa kukiandika!.. ili ukiingiza nondo za kijerumani usichapie chapie km hivyo uloivyoandika😁😁! maana km neno German nahis utaandika Gelman!😊😊😊
 
Jamani na mm kama kuna mtu anayependa kufundishwa kirumi..aniambie😊... hesabu zote za kirumi nitamfundisha..kuandika 1_1000kwa kirumi nitahakikisha anakwiva!karibuni tuunge juhudi za mheshimiwa Raisi.. nakuhakikishia ndani ya jan kati kati lazma utembee kifua mbere kwa kuzisoma na kuziimba😊😊😊!"KALIBUNI"
 
Samahani naomba nikushauri kitu..kabla hujaamua kufundishwa kijerumani unionaje ukifundishwa kiswahili na sarufi zake?? nikiwa na maana ya kuwa kukiandika!.. ili ukiingiza nondo za kijerumani usichapie chapie km hivyo uloivyoandika😁😁! maana km neno German nahis utaandika Gelman!😊😊😊
Kwa ushauri huu tu ulipaswa ulipwe:D
 
Back
Top Bottom