Broo umepata Papucci Ya Dochi wele nini?Natafuta mkufunzi anifundishe kijerumani,nitamlipa aina shida
Dah...Aina shida mkuu...ngoja nikuchekie na wa kiswahiliNatafuta mkufunzi anifundishe kijerumani,nitamlipa aina shida
😂😂😂😂😂😂👌👌👌🎴👊 ww kweki roho mbaya 😂😂Dah...Aina shida mkuu...ngoja nikuchekie na wa kiswahili
Njoo inboxNatafuta mkufunzi anifundishe kijerumani,nitamlipa aina shida
Hahahaaa umeona eeh ""aina shida""Samahani naomba nikushauri kitu..kabla hujaamua kufundishwa kijerumani unionaje ukifundishwa kiswahili na sarufi zake?? nikiwa na maana ya kuwa kukiandika!.. ili ukiingiza nondo za kijerumani usichapie chapie km hivyo uloivyoandika! maana km neno German nahis utaandika Gelman!
Kwa ushauri huu tu ulipaswa ulipweSamahani naomba nikushauri kitu..kabla hujaamua kufundishwa kijerumani unionaje ukifundishwa kiswahili na sarufi zake?? nikiwa na maana ya kuwa kukiandika!.. ili ukiingiza nondo za kijerumani usichapie chapie km hivyo uloivyoandika😁😁! maana km neno German nahis utaandika Gelman!😊😊😊
😂😂😂😂👊Kwa ushauri huu tu ulipaswa ulipwe
Au wale wa "hamecheka"Hahahaaa umeona eeh ""aina shida""
😂😂😶👏👏Hahahaaa umeona eeh ""aina shida""
😂😂nakwazikagaAu wale wa "hamecheka"
😂😂sikijui ila hapa unatudanganyawenn Sie einen Deutschlehrer finden, hier bin ich!
Mimi pia, wanaharibu sana😂😂nakwazikaga
Kweli amedanganya😂😂sikijui ila hapa unatudanganya
lüge nichts!sikijui ila hapa unatudanganya