Natafuta Mwalimu/ chuo kizuri Cha KUNG FU/KARATE

Natafuta Mwalimu/ chuo kizuri Cha KUNG FU/KARATE

Krav Maga ndo kila kitu.. kung fu ushachelewa hapo maana hata msamba huwezi tena viungo vimekomaa.

Uzuri wa krav maga haina formula ya kupigana. Ila unatakiwa uwe na confidence na mwili uwe strong.

Krav maga unatumia mpaka ufunguo kupigana.. mfano; unaweza kumchoma mtu ufunguo wa pua, au unampiga ufunguo wa jicho. Au unapiga kitovu au mapumbuu ..

Na sifa ya krav maga ni kwamba ni shambulizi la kushtukiza na la haraka. Hauna haja ya kupigana na mtu madakika just 10 seconds and you are done adui ushammaliza
Kuna jamaa aliua watu wa 3 bar kwa penseli tu Ile ya hb.
 
Krav Maga ndo kila kitu.. kung fu ushachelewa hapo maana hata msamba huwezi tena viungo vimekomaa.

Uzuri wa krav maga haina formula ya kupigana. Ila unatakiwa uwe na confidence na mwili uwe strong.

Krav maga unatumia mpaka ufunguo kupigana.. mfano; unaweza kumchoma mtu ufunguo wa pua, au unampiga ufunguo wa jicho. Au unapiga kitovu au mapumbuu ..

Na sifa ya krav maga ni kwamba ni shambulizi la kushtukiza na la haraka. Hauna haja ya kupigana na mtu madakika just 10 seconds and you are done adui ushammaliza
Hii imekaa kuoteana oteana ivi...
 
hivi nikishika mawe mkononi halafu wewe umejifunza ngumi je utaweza kunipiga ??
 
Njoo kwa mzee wetu babu ally mstaafu wa je... alitoka na hii Krav maga israel. Within 3 months hata snartfone kwao ni silaha
 
Mafunzo kama hayo sio ya kufundisha kila mtu itakuwa ni hatari uraiani , Mara nyingi wanapewaga watu maalum katika ulinzi
 
Krav Maga ndo kila kitu.. kung fu ushachelewa hapo maana hata msamba huwezi tena viungo vimekomaa.

Uzuri wa krav maga haina formula ya kupigana. Ila unatakiwa uwe na confidence na mwili uwe strong.

Krav maga unatumia mpaka ufunguo kupigana.. mfano; unaweza kumchoma mtu ufunguo wa pua, au unampiga ufunguo wa jicho. Au unapiga kitovu au mapumbuu ..

Na sifa ya krav maga ni kwamba ni shambulizi la kushtukiza na la haraka. Hauna haja ya kupigana na mtu madakika just 10 seconds and you are done adui ushammaliza
Mafunzo kama haya sio ya kumfundisha kila mtu,itakuwa ni hatari Uraiani. Maranyingi wanapewaga watu maalum katika Ulinzi
 
Krav Maga ndo kila kitu.. kung fu ushachelewa hapo maana hata msamba huwezi tena viungo vimekomaa.
Uzuri wa krav maga haina formula ya kupigana. Ila unatakiwa uwe na confidence na mwili uwe strong.
Krav maga unatumia mpaka ufunguo kupigana.. mfano; unaweza kumchoma mtu ufunguo wa pua, au unampiga ufunguo wa jicho. Au unapiga kitovu au mapumbuu ..
Na sifa ya krav maga ni kwamba ni shambulizi la kushtukiza na la haraka. Hauna haja ya kupigana na mtu madakika just 10 seconds and you are done adui ushammaliza
mtaje na sehemu ya kujifunza hiyo krav maga niende nikajinoe na ni mda gani nitakua poa kabisa
 
mtaje na sehemu ya kujifunza hiyo krav maga niende nikajinoe na ni mda gani nitakua poa kabisa
Download hata vitabu online utapata basics nzuri. Kikubwa wekeza kwenye mazoezi ya kawaida pumzi, pushup na hata chuma kidogo
 
Mafunzo kama haya sio ya kumfundisha kila mtu,itakuwa ni hatari Uraiani. Maranyingi wanapewaga watu maalum katika Ulinzi
Fo self defence na kujiamini tu sio mbaya. huwez jua siku utayatumia so ni vizur kujiweka fit
 
Mafunzo kama haya sio ya kumfundisha kila mtu,itakuwa ni hatari Uraiani. Maranyingi wanapewaga watu maalum katika Ulinzi
Fo self defence na kujiamini tu sio mbaya. huwez jua siku utayatumia so ni vizur kujiweka fit
 
Back
Top Bottom