nosspass
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 5,798
- 4,752
nakushauri....uwe muaminifu....UAMINIFU ndio silaha kuu ya USHINDI.....mara nyingi vijana kama nyie mnamshauri mtu kwa maneno matamu,,, anawekeza a lot of money....then ukifanya kdg ukaweza kununua camera yako unaondoka,,,,, wakati unasahau wewe ndie ulishawishi...hapo ndio mnafanya wawekezaji wawabeze.....