Natafuta muwekezaji kwenye Biashara ya Photography, Video Production na Graphics Design

Mimi ni kijana wa kitanzania Lengo La Kuja hapa ni kuomba msaada wa uwekezaji katika biashara ya VIDEO PRODUCTIN, PHOTOSHOOT and GRAPHICS DESIGN ili aweze kusaidia upatikanaji wa vifaa vitakavyo wezesha kufanya kazi vyenye thamani ya shilingi 6M (Million Sita).

Mtaji wangu utakuwa ni Uaminifu, wazo, Nguvu ma Muda Halafu Boss yeye Atawekeza katika hii project alafu tupange , nikae kama Business partner (tufanye Kazi alafu tuwe tunagawana faida Kulingana na mzunguko wa biashara Katika Asilimia ) Au niwe mwajiliwa wake nikisimamia kila kitu katika kazi alafu ye anilipe mshahara wangu wa kila mwezi

1.Video Light kit

2.CAMERA Canon 60D 1,500,000 na Canon mark 3 5D

3.Boya mic

4.Speed light

5.Strobe

6.Background

7.lens

8.memorycard

9.Stand

10.Compute

11.Reflactor

12.Printer

KUHUSU MIMI

Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 23 Elimu yangu ni kidata cho sita (siyo kwamba nilifeli hapana nimeshindwa kwenda chuo kutokana na changamoto za kifedha kuzimudu) Ni mzaliwa wa MBEYA MJINI na ndipo ninapo ishi kwa sasa

UZOEFU WA KAZI

Ni Mjuzi wa maswala ya VIDEOGRAPHY, PHOTOGRAPHY, FILMMAKING, GRAPHICS DESIGN, STORY WRITTER, Nimejifunza aya kwa mda wa miaka mi nne sasa sijaingia darasani ila nimekuwa nikijufunza kutoka kwa watu mbali mbali wenye ujuzi na aya maswala na kwa hapa nilipo nimefika sehemu naweza fanya kitu mwenyewe kwa uzoefu nilio nao

MAWASILIANO YANGU

0743150860 Voda 0688176045 Airtel

Natangulisha shukurani zangu za zati kwenu
wakuu samahani kama kuna mtu alijalibu kuwasiliana na mimi izi siku za karibuni na akuweza kunipata au kushindwa kuwasiliana vizuri niliapata shida kwenye simu yangu ivyo niwaombe tu samahani na tunaweza kuendelea kuwasiliana tena 0743150860
 
Pitia uzi wake huu, ( Ugumu wangu )and then mtafute PM.
 
nilivyo soma huu uzi daah mwili umetetemeka aiseeeee
 
shukurani mkuu kumbe alishatoka na tangazo kabisa sijui nili fail wapi mimi ngoja ni mcheki
Kula jambo lina wakati wake. Nafasi bado iko wazi na ndo maana amekutafuta.

Ukikwama mahali hasa kwenye eneo la kuandaa mpango kazi, chat me up, I will be there to help.

All the best.
 
Huyu jamaa alikuja na uzi, amekoswakoswa kutapeliwa.
 
Uaminifu ni bidhaa adimu sana zama hizi, watu wamekua sifa nyingi kemukemu ila uaminifu wamekosa.
Waaminifu wapo ila ni kazi sana kuwapata na kuwajua, tuendelee kupambana.
 
Uaminifu ni bidhaa adimu sana zama hizi, watu wamekua sifa nyingi kemukemu ila uaminifu wamekosa.
Waaminifu wapo ila ni kazi sana kuwapata na kuwajua, tuendelee kupambana.
natamani nipate mtu mmoja atakae niamini ili niwe mfano kwa wengine kwamba watu tunaona hitaji fursa na niwaaminifu na wenye chachu ya mafanikio na wenye maono ya kuwasidia vijana wengine bado tupo HAPATIKANE MMOJA TU ANIAMINI
 
Mimi ni kijana wa kitanzania Lengo La Kuja hapa ni kuomba msaada wa uwekezaji katika biashara ya VIDEO PRODUCTIN, PHOTOSHOOT and GRAPHICS DESIGN ili aweze kusaidia upatikanaji wa vifaa vitakavyo wezesha kufanya kazi vyenye thamani ya shilingi 6M (Million Sita).

Mtaji wangu utakuwa ni Uaminifu, wazo, Nguvu ma Muda Halafu Boss yeye Atawekeza katika hii project alafu tupange , nikae kama Business partner (tufanye Kazi alafu tuwe tunagawana faida Kulingana na mzunguko wa biashara Katika Asilimia ) Au niwe mwajiliwa wake nikisimamia kila kitu katika kazi alafu ye anilipe mshahara wangu wa kila mwezi

1.Video Light kit

2.CAMERA Canon 60D 1,500,000 na Canon mark 3 5D

3.Boya mic

4.Speed light

5.Strobe

6.Background

7.lens

8.memorycard

9.Stand

10.Compute

11.Reflactor

12.Printer

KUHUSU MIMI

Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 23 Elimu yangu ni kidata cho sita (siyo kwamba nilifeli hapana nimeshindwa kwenda chuo kutokana na changamoto za kifedha kuzimudu) Ni mzaliwa wa MBEYA MJINI na ndipo ninapo ishi kwa sasa

UZOEFU WA KAZI

Ni Mjuzi wa maswala ya VIDEOGRAPHY, PHOTOGRAPHY, FILMMAKING, GRAPHICS DESIGN, STORY WRITTER, Nimejifunza aya kwa mda wa miaka mi nne sasa sijaingia darasani ila nimekuwa nikijufunza kutoka kwa watu mbali mbali wenye ujuzi na aya maswala na kwa hapa nilipo nimefika sehemu naweza fanya kitu mwenyewe kwa uzoefu nilio nao

MAWASILIANO YANGU

0743150860 Voda 0688176045 Airtel

Natangulisha shukurani zangu za zati kwenu

This is my biggest interest. Nitafute
 
natamani nipate mtu mmoja atakae niamini ili niwe mfano kwa wengine kwamba watu tunaona hitaji fursa na niwaaminifu na wenye chachu ya mafanikio na wenye maono ya kuwasidia vijana wengine bado tupo HAPATIKANE MMOJA TU ANIAMINI
Mimi sitaki uniamini kabisa ila nakukaribisha kwa mazungumzo binafsi ukiona yafaa,nikushauri kitu
 
Mimi ni kijana wa kitanzania Lengo La Kuja hapa ni kuomba msaada wa uwekezaji katika biashara ya VIDEO PRODUCTIN, PHOTOSHOOT and GRAPHICS DESIGN ili aweze kusaidia upatikanaji wa vifaa vitakavyo wezesha kufanya kazi vyenye thamani ya shilingi 6M (Million Sita).

Mtaji wangu utakuwa ni Uaminifu, wazo, Nguvu ma Muda Halafu Boss yeye Atawekeza katika hii project alafu tupange , nikae kama Business partner (tufanye Kazi alafu tuwe tunagawana faida Kulingana na mzunguko wa biashara Katika Asilimia ) Au niwe mwajiliwa wake nikisimamia kila kitu katika kazi alafu ye anilipe mshahara wangu wa kila mwezi

1.Video Light kit

2.CAMERA Canon 60D 1,500,000 na Canon mark 3 5D

3.Boya mic

4.Speed light

5.Strobe

6.Background

7.lens

8.memorycard

9.Stand

10.Compute

11.Reflactor

12.Printer

KUHUSU MIMI

Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 23 Elimu yangu ni kidata cho sita (siyo kwamba nilifeli hapana nimeshindwa kwenda chuo kutokana na changamoto za kifedha kuzimudu) Ni mzaliwa wa MBEYA MJINI na ndipo ninapo ishi kwa sasa

UZOEFU WA KAZI

Ni Mjuzi wa maswala ya VIDEOGRAPHY, PHOTOGRAPHY, FILMMAKING, GRAPHICS DESIGN, STORY WRITTER, Nimejifunza aya kwa mda wa miaka mi nne sasa sijaingia darasani ila nimekuwa nikijufunza kutoka kwa watu mbali mbali wenye ujuzi na aya maswala na kwa hapa nilipo nimefika sehemu naweza fanya kitu mwenyewe kwa uzoefu nilio nao

MAWASILIANO YANGU

0743150860 Voda 0688176045 Airtel

Natangulisha shukurani zangu za zati kwenu
Umefanikiwa.? Mm pia nafanya kazi hizo, naomba connection kama umefanikiwa ili tufanye kazi pamoja.
 
Back
Top Bottom