Natafuta mume

Mungu ni mwema wakati wako ukifika utapata tu mbona kuna watu wanaolewa wana miaka 40 naa bt nakusihi usikate tamaa dada namba yangu hiyo utaniyafuta nitajia jinsi ya kukusaidia pole sana
 
34yrz and single? A woman!? Unaweza tafuta mwenyewe mume na co mpaka uolewe (digital)
 

KILA MWENYE KUJIKWEZA ATASHUSHWA NA KILA MWENYE KUJISHUSHA ATAKWEZWA,,,,,,ameen,,kala la kheri
 
Umeongea yote niliyopanga kusema. Ahsante sana na nafikiri muhusika atayafanyia kazi.
 
Umeongea yote niliyopanga kusema. Ahsante sana na nafikiri muhusika atayafanyia kazi.
 
Siongei mengi nipigie kwa 0764556760 ili tuongee japo hujasema ww ni dini gani.
 
Khaa!! Boflo wewe umechelewa kwelikweli. Only 4bfs?? Bado kinda sana kwenye masuala ya mapenzi. Hata kumuuliza ex -bf wako mmoja kwanini alikudump ulishindwa? Sikiliza wewe marriage isnt about your education, isnt about your job, your looking, your past life style na ujinga mwingine.....IT IS ABOUT SEX. Asikudanganye mtu ndiyo maana linaitwa tendo la ndoa kwa sababu linababeba 99.99% ya maana ya ndoa na hiyo iliyobaki 0.01% ndiyo zinabeba hayo masifa yako uliyoyajaza hapo ukidhani zina maana. Sasa kama unasoma gazeti ukiwa kiwanjani (6x6) au una headphones wakati wa kazi basi ujue utampata anayetaka free meals and accomodation kutoka kwako lakini atakuwa na kingoma chake kinachompagawisha huko nje huku. Hakuna cha kufunga na kuomba wala nini wewe jifunze njia za asili na kisasa za kupagawisha. Mbona mianaume mingi mingi mijinga utakuwa na kazi kubwa ya ku shortlist ili umpate mume umpendaye na atakuwa mtumwa wako 😎
 
 
Kasi yako vuta polepole mama. Usije ukakutana na mipakashume halafu ukala za uso tena.
Relax pray and God will hear u.
 
Anashida na mume mimi nina tafta mke hebu ni beep kupitia 0762498390.
 

Ushauri nimeupenda sana, hata mimi nauchukua.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…