Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,347
- 3,023
Ok, tupo pamoja!Thanks and noted for future use...
Ok, tupo pamoja!Thanks and noted for future use...
Misijasem Kuwa wakati mwingine unamwaga pumba. nilikuwa namaanisha point kubwa kuliko za siku zingine Asprin dont quote me wrong kumradhi bana si unajua kiswahili shida huku
Ulkikuwa hujui huwa unatema vepa??
Usiombe msamaha, ni kawaida yake huyu kutoa vepaMisijasem Kuwa wakati mwingine unamwaga pumba. nilikuwa namaanisha point kubwa kuliko za siku zingine Asprin dont quote me wrong kumradhi bana si unajua kiswahili shida huku
lol umefikaje huku mzee wewe mie najua nasemelea chumbani kumbe uko sebuleni haya nimesikia.Kiukweli kabisa nivea siamini kama ni wewe umepost hii makitu. Kuna mtu kakuibia password yako?
Naamini hata Ciello uliyem-mention hawezi kuisapoti kauli yako hii ya kukatisha tamaa na kubeza kwa kiwango hiki.
Nakushauri usirudie maneno ya kejeli namna hii kwabinadamu mwenzako atafutaye kwa dhati.
Haya tuyafanyie kule chitchat
Ahsante
Sijui niongeze mke wa pili hapa, maana vigezo vyote ninavyo...............LOL
Hapana Mtambuzi utanisamehe..Mwache mama Ngina kwa raha zake akumilikiSijui niongeze mke wa pili hapa, maana vigezo vyote ninavyo...............LOL