Menopause inaweza kuwa kikwazo in one way or another, vp kama ni mvutaji? au anafanya diet sana kama dada zetu wa siku izi? no offence but anything is possible japokuwa si wakati wa ku-judge yote hayo, dada anataka mchumba umri umemtupa mkonoAsante sana kwa elimu. Anyway maana yangu ilikuwa kwamba menopause si kikwazo
VIGEZO NA MASHART KUZINGATIWA, imekaa kama promotion ya tigo vile.....samahan lakin
Menopause inaweza kuwa kikwazo in one way or another, vp kama ni mvutaji? au anafanya diet sana kama dada zetu wa siku izi? no offence but anything is possible japokuwa si wakati wa ku-judge yote hayo, dada anataka mchumba umri umemtupa mkono
by the way tangazo limetuliaKila jambo lina terms and conditions..na katika hili watu wawili lazima wakubaliane ili kufika mwafaka.. usitishike mkuu sio matangazo ni nia njema tu ya kujenga
Dadangu Hiroko usikatishwe tamaa na hawa wanaokubeza. Mungu yu mwema na msikivu wa vilio vya waja wake. Endelea kumuomba wakati nami nikikuombea.
Nakushauri wasamehe wote wanaokubeza kwakuwa hawajui walifanyalo. Yesu alibezwa seuze wewe.
Mwisho wa siku watajutia vibezo vyao. Roho zao zitawasuta utakapoleta ushuhuda hapa wakati nao washakuwa "wazee"
Mungu na akuongoze katika njia zako.
hapana sijasema ivyokwa hiyo kama umri umeenda unataka nisiwe na mwenza au mpenzi/mume?sikuelewi
hapana sijasema ivyo
Your welcam madameThank you
Miaka 35 mpaka 40.
Elimu kuanzia form six na kuendelea.
Awe mfanya kazi au mfanya biashara halali.
Awe mkristo.
Anayejiamini kuwa yeye ni kichwa cha familia na mchapa kazi.
Mimi nina miaka 35. mkristo
Elimu degree.
Nafanya kazi.
Kwa aliye serious plz tuwasiliane kwa pm au email valevale1133@yahoo.com.
Kama huna la maana la kuongea piga kimya na utabarikiwa.
Vigezo na masharti kuzingatiwa..
Thank you
Wewe sema amina tu hapa. Anakuja kama kondoo, akigeuka anakurarua,lol. Asprin, wakezo 4 hawajambo? Na wale masuria je?
Hata kubonywa hapendi hapo, maana hamu ya sex inapungua kwa kiasi kikubwa sababu vaginal fluids zinapungua, so uinjoi tena kumbonya maumivu tu ndo anapata.Halafu itakuwa wa kubonywa tu!
Mimi kabla ya yote utwambie wewe unafanya kazi gani na kipato chako kwa mwezi nishilling ngapi hapo tuone kama masharti na vigezo vimezingatiwa nihayo tu!
Thanks and noted for future use...
Uwe makini ndugu! Si kila atakae kua anakuambia anakupenda atakua anamaanisha! Kila mtu na bia yake, usiamini sanaa love za kwenye social network ni wachache sana wanamaanisha wanachkisema.
Kila la kheri!