Habarii Wana JF
Natafuta mume
Nina umri miaka 26
Mkristo
Mjasiriamali
Natafuta mwanaume aliye serious tuanzishe mahusiano endelevu kisha ndoa.
Awe mkristo
Asiwe ameoa
Umri anizidi kuanzia 28, 29, 30.
Sababu ya kuja JF nipo mazingira ambayo dini tofauti na yangu imeshika hatamu na wazazi wangu wamekwisha kataa wanaume wawili waliokuja wa dini tofauti Kiukweli napata walio serious ila dini tofauti na wazazi wangu ni viongozi wakubwa kanisani.
PLS: KAMA UPO SERIOUS TUKUTANE PM
Naombeni jamani msi attack post yangu sitaweza kuwajibu na nitajisikia vibaya.
MUNGU AWABARIKI
Natafuta mume
Nina umri miaka 26
Mkristo
Mjasiriamali
Natafuta mwanaume aliye serious tuanzishe mahusiano endelevu kisha ndoa.
Awe mkristo
Asiwe ameoa
Umri anizidi kuanzia 28, 29, 30.
Sababu ya kuja JF nipo mazingira ambayo dini tofauti na yangu imeshika hatamu na wazazi wangu wamekwisha kataa wanaume wawili waliokuja wa dini tofauti Kiukweli napata walio serious ila dini tofauti na wazazi wangu ni viongozi wakubwa kanisani.
PLS: KAMA UPO SERIOUS TUKUTANE PM
Naombeni jamani msi attack post yangu sitaweza kuwajibu na nitajisikia vibaya.
MUNGU AWABARIKI