Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.
Ukiona haikuhusu potezea sio kuandika matusi.
NI pm tuone!!!!!!!!!!!!!!!!!Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.
Ukiona haikuhusu potezea sio kuandika matusi.
Kila la heriMimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.
Ukiona haikuhusu potezea sio kuandika matusi.
Samahani dada kama nitakuwa nmekukwaza,,,kama unahitaji mwenye hofu ya Mungu cdhani kama utampata humu,,kama kweli unamtaka mume mwombe Mungu pia usisahau kwenda kanisani kusali kila inapotakiwa,hudhuria maombi,fanya fellowship kaa karibu na Mungu wako atakupa mwanamume unayemhitajiMimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.
Ukiona haikuhusu potezea sio kuandika matusi.
umezaa kabla ya ndoa? afu unataka mwenye hofu ya Mungu? tokea 2013 miaka yako haijaongezeka?Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.
Ukiona haikuhusu potezea sio kuandika matusi.
Hamna kitu huyo ni cha wote toka 2013 namsoma tu anavyohangaika bora atulie amtunze mwanae kuliko kuja hapa kwa mbwembwe kuna Nataka mume mwenye Ajira huku akijua miaka haina stop watch inaenda tu...huwa wanawalisha sumu watoto zao wachukie baba zao kuwa hawawajali hi ni tokana na chuki na stress juu"..Naona wafanya biashara hapa hatuna chetu"
Ndo utakuwa unatujibu hivi shemeji zako?
Labda mtoto na si watoto....Nawe unakubali mwanaume mwenye watoto...!?