Natafuta mume

Natafuta mume

2013 ulikuja hapa jukwaani ukitafuta mme leo nako umerud pole sana dada yangu japo vigezo sina
Nadhan alipata. Kisha akazalishwa na kuachwa ndiyo maana anasema aliumizwa na kachoka. Tumsaidie jamani.

Mimi nimekwisha pata dada, tungekutana pm. Ila ukitaka part time ni pm
 
2013 ulikuja hapa jukwaani ukitafuta mme leo nako umerud pole sana dada yangu japo vigezo sina
napenda watu wenye kumbukumbu kama nyie!!taratibu ataishiwa nguvu....hiyo break aliyojipa ya miaka 3 alijua tumemsahau......saafi kwa kumbukumbu nzuri,hajatupa mrejesho wa miaka mitatu iliyopita leo hii anatafuta mume mwingine!!WANAUME WA DAR MUOGOPE HILI
 
Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.

Ukiona haikuhusu potezea sio kuandika matusi.
Njoo turudiane ili tulee mtoto wetu
 
Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.

Ukiona haikuhusu potezea sio kuandika matusi.
Njoo pm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom