Natafuta mume

Natafuta mume

Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.

Ukiona haikuhusu potezea sio kuandika matusi.
Vp umeshapata mtu
 
V
i
Vigezo huna kaa kimya.waachie wenye vgezo.
Kuna member mmoja anaitwa bwire emmanuel mwaka 2013 alisema umtafute ili akutafutie, je hukumtafuta? Je kama ulimtafuta alikupatia kazi? Na kama ulipata kazi je uliacha?
 
Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.

Ukiona haikuhusu potezea sio kuandika matusi.
V
i
Vigezo huna kaa kimya.waachie wenye vgezo.
Kwa majibu yako tu hayo unsonekana huna adabu ndio maana umeachwa mataa. Mwanaume gani aoe mwanamke mwenye mdomo kama wewe!
 
Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.

Ukiona haikuhusu potezea sio kuandika matusi.

mambo usjali utampata tu ....ebu n pm nikupe maelekezo flani
 
Nikupe pole tu dada kwa maswahibu yalo kukuta ila ipo cku utampata atakae utuliza moyo wako ushauri tu usitafute mume humu utaongeza machungu tu
 
Mnaringa tukiwatongoza mkizaa mnakuja kutafuta kwenye mtandao
Single mother tupa kule
Wewe unafaa kuliwa tu sasa sio kuolewa

Kuna uzi fulani hivi wajinga wengine wanajipa matumaini kuwa ndoa haina maana
Huyu katumika weee sasa ndo anatafuta tena na mtoto juu
Hivi mjinga gani anaoa mtu mwenye mtoto wakati wapo kibao hawajapata mtoto na umri unaruhusu
 
V
i
Vigezo huna kaa kimya.waachie wenye vgezo.

Kama ungekuwa na vigezo unadhani ungeachwa au kuzalishwa na kuto olewa?
Waziri na wenye vigezo wameolewa tayari
Wenye tabia mbaya ndo bado hawajaolewa kama wewe hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom