Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,099
umesema awe mkristo, iyo bado haitoshi, ni lazma awe mwenye hofu ya Mungu
Miaka Hiyo....Ngoja Ngoja Nifikishe BasiNatafuta mwanaume anaejielewa, mwenye kumcha mungu na awe na kazi ya kumuingizia kipato asiwe na mtoto zaidi ya mmoja,awe mnene kidogo mrefu saizi ila sio sana.
Na awe tayari kunipenda na awe nasty in bed, awe na miaka 36-40.awe mkristo na awe na mvuto kidogo ila sio sana maana sana inaboa.
Karibuni,kejeli sio nzuri
Nimeipenda hiii!Mapenzi kama nyumba ya maskini inajengwa na kurekebishwa mdogo mdogo ukitaka umpate mwenye sifa zote hizo utaongopewa tafuta mwenye sifa za wastani mengine kamjenge mwenyewe labda kama unatafuta wa kukumega tu.
Embu tuasume wewe ni gari na uko sokoni....Sisi serious buyers tungependa kujua yafuatayo;-
- Kwamba wewe ni model ya mwaka gani?
- Made in wapi?
- Kwamba wewe ni manual (kwa matumizi ya shamba tu) ama ni auto (kote kote i mean)
- Mashine inasoma ngapi kwenye dashboard(kwa maana ya umedate mara ngapi)
- Umewahi kushusha Engine/umewahi kufanya over hall (kutoa mimba)- kama ndio mara ngapi?
- Mara ya mwisho umefanya service lini(Kupima)
- Na kwamba ni watumiaji wangapi walipata kumiliki gari hili/kuoa.
- Taja sifa za ziada kama mwendo wako kwenye 6/6.
- Body type
- Colour
- Una turbo kidogo ama ni flat clossed saloon.
Ikitokea ukabadili mawazo ukahitaji wa kukufurahisha kitandani halafu kila mtu aendelee na mambo yake, uje inbox tafadhali.
mkristo
Natafuta mwanaume anaejielewa, mwenye kumcha mungu na awe na kazi ya kumuingizia kipato asiwe na mtoto zaidi ya mmoja,awe mnene kidogo mrefu saizi ila sio sana.
Na awe tayari kunipenda na awe nasty in bed, awe na miaka 36-40.awe mkristo na awe na mvuto kidogo ila sio sana maana sana inaboa.
Karibuni,kejeli sio nzuri
Duh! Hapa upele umepata mkunaji!
Nipe nambaBytheway nafanya kazi nimeajiriwa katika NGO fulani am not a goal digger
Hivi umefanikiwa kumpata huyo mume??Natafuta mwanaume anaejielewa, mwenye kumcha mungu na awe na kazi ya kumuingizia kipato asiwe na mtoto zaidi ya mmoja,awe mnene kidogo mrefu saizi ila sio sana.
Na awe tayari kunipenda na awe nasty in bed, awe na miaka 36-40.awe mkristo na awe na mvuto kidogo ila sio sana maana sana inaboa.
Karibuni,kejeli sio nzuri