Mimi vyote hivyo sina ila kitandani tu utalia nyau manake nina mtulinga wa kufa mtu
Natafuta mwanaume anaejielewa, mwenye kumcha mungu na awe na kazi ya kumuingizia kipato asiwe na mtoto zaidi ya mmoja,awe mnene kidogo mrefu saizi ila sio sana.
Na awe tayari kunipenda na awe nasty in bed, awe na miaka 36-40.awe mkristo na awe na mvuto kidogo ila sio sana maana sana inaboa.
Karibuni,kejeli sio nzuri
Umepata ni pm
Wengine wanaotafuta Mabwana ni wanaume ndani jf
Mmmmh!! kazi ipo
Promo at work lol
Sio wewe kweli!??
una kesi ya kujibu